6321 JF-Expert Member Oct 16, 2016 649 1,116 Apr 21, 2021 #1 Kuanzia umri gani wa mtoto ni sahihi kuanza kuchapa akikosea? Natanguliza shukurani
Karucee JF-Expert Member Mar 11, 2012 18,146 34,190 Apr 21, 2021 #2 Huwezi kumchapa bakora Moja kwa Moja. Kuna strategy nyingi hasa sisi kina mama. Sasa pale initial strategies zinapofeli ndo bakora zinaanzaga regardless of age. Wewe tu na ukaidi wako. Strategy ya kwanza ni kukata jicho flani linalozidishaga mapigo ya moyo.....hii tunatumuaga wageni wakiwepo
Huwezi kumchapa bakora Moja kwa Moja. Kuna strategy nyingi hasa sisi kina mama. Sasa pale initial strategies zinapofeli ndo bakora zinaanzaga regardless of age. Wewe tu na ukaidi wako. Strategy ya kwanza ni kukata jicho flani linalozidishaga mapigo ya moyo.....hii tunatumuaga wageni wakiwepo
Perfectz JF-Expert Member May 17, 2017 8,844 27,550 Apr 22, 2021 #3 SIKU HIZI HADI KUBET IMEKUWA KAZI MOJA NGUMU SANA.
Priceless soul JF-Expert Member Jul 4, 2017 1,484 1,727 Apr 22, 2021 #4 6321 said: Kuanzia umri gani wa mtoto ni sahihi kuanza kuchapa akikosea? Natanguliza shukurani Click to expand... Chini ya 18.. Lkn bakora ni hatuua ya mwisho baada ya kuona dharau zimezid ,ukimuonya Mara 2 au 3... Maana utamfanya awe sugu.
6321 said: Kuanzia umri gani wa mtoto ni sahihi kuanza kuchapa akikosea? Natanguliza shukurani Click to expand... Chini ya 18.. Lkn bakora ni hatuua ya mwisho baada ya kuona dharau zimezid ,ukimuonya Mara 2 au 3... Maana utamfanya awe sugu.