Umri unaenda sina mtoto, inaniuma sana. Naomba ushauri

momara

JF-Expert Member
Jan 24, 2019
463
490
Ndugu nawapa salam

Mimi ni kijana ambaye niliamua bila kushinikizwa na mtu kuoa ningali kijana. Huku shauku kubwa ikiwa ni kupata na kulea kizazi changu ningali kijana na mwenye nguvu. Kifupi nilikuwa na shauku kubwa ya kupata mtoto.

Nilioa nikiwa na umri wa miaka 26 ila mpaka sasa ni miaka 5 ndani ya ndoa sijabahatika kupata mtoto. Kinachoniuma zaid umri unazidi kusonga na wadogo zangu wana watoto.

Kifupi kuna shida ambayo inamsumbua mke wangu na nimejaribu ktk hospitali bila mafanikio, tiba asili na mitishamba pamoja na maombi bila mafanikio.

Hospitali tumepima mpaka ultra sound tatizo hamna dawa mbalimbali zimetumika mpaka za kutumbukiza ktk mfumo wa uzazi bila majibu.

Tiba asili na mitishamba nako hali kadhalika hakuna matokeo. Kila aliyesema anajua tulimtafuta na matokeo ni sifuri.

Na ktk maombi pia ni hivyo hivyo. Mimi ni mwislam kwa hiyo nimepita ktk visomo vya Rukya ila bado hakuna matokeo.

Wengi wanashauri ktk uvumilivu na kuwa na subira.

Subira ni jambo kubwa sana na sina shaka na hilo, ila kwa kipindi chote hicho najihisi mpweke na mnyonge sana nikiwa mtaani washkaji na marafiki wakihangaika na watoto wao mara uniform mara madaftari mara hiki mara kile ilimradi tu kila mtu anahangaika na damu yake. ROHO INANIUMA SANA.

Unajua wanaume tunatafuta hela kwa ajili ya wanawake na watoto hasa hata nguvu ya kuzisaka nakosa. Natamani na mimi iwe asubuhi halafu mtoto aliyetokana na mimi (my blood) aje kitandani na kuniita BABA NATAKA HELA NIKANUNUE SAMBUSA NJE. Hii huleta furaha sana asikwambie mtu na nguvu pia ya kuzitafuta inakuja maradufu.

Imefika hatua natamani sana kutafuta hata mtoto angalau mmoja tu nje ya ndoa na hapo ndipo tatizo lingine linapoanzia.
Kila msichani ninayejaribu kumtongoza ananielewa vizuri tu ila kabla ya kufanya lolote naye swali la kwanza hujaoa? Hapo napataga wakati mgumu sana kujibu, binafsi dhambi inayonitafuna sana ni kuongea ukweli na kuogopa kumdanganya msichana ktk mapenz.

Nikimwambia sina itakuaje pale atakapopiga simu usiku na kutuma meseji mimi muda huo nipo na wife? Mbaya zaidi mke nilie nae ana wivu mpaka balaa na ukimkosea kidogo basi yeye hupeleka fikra zake ni kwa vile sina mtoto. Kifupi nachunga sana ili asikwazike na awe na furaha japo wote tupo na stress.

Kifupi sipendi kudanganya kuepusha hayo yote. Dini yangu inanipa fursa ya kuoa mke zaidi ya mmoja ila nalo ni changamoto sana, binti kumwambia nikuoe mke wa pili nayo ni shida kubwa ni lazima uwe na uwezo nami nikijiangalia sina uwezo wa kuhimili ndoa ya pili na uwezo wa kifedha pia ni changamoto.

Niliamua kutafuta angalau nimpate single mother ambaye tayari ana uwezo wa kujisimamia japo kidogo ili nianzie alipoishia tusonge mbele nami anizalie wangu tukishibana tujenge familia ila nalo ni changamoto sana.

Nimefungua na uzi kabisa hapa JF nikitaka single mother ila sijaona mwitikio bado.

Kifupi tu inafikirisha sana na kila ninaemfikiria na kumkabili kumweleze kuwa nahitaji mtoto ROHO inanambia utapotea na utatafutiwa au upewe mimba isiyo yako.

Natamani kufanya ngono hovyo na huyu na yule then nikae nisubiri kuletewa mimba ila nawaza na kufikiri magonjwa nabaki nanywea. Nyumbani wananiangalia tu nami naangalia chini mwingine ananiuliza huna hata mtoto nje nabaki natabasam kumfumba naye anabaki haelewi...!

Jamani wanaJF niko hapa kupokea maoni nifanye nini nipate japo mmoja wa kuanzia. Umri unaenda kasi sana nami sipendi mwaka huu uishe bila mtoto au hata mimba tu.

Kwa upande wa mke wangu yeye bado mdogo 23yrs so hata ikitokea miaka mingne 4 au 5 ya kuhangaika ikatokea kupata mtoto bado si mbaya sana nikijilinganisha na mm sasa hivi nina 30+.

Karibun.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
huna uwezo wa kuoa mke wapili kwa uwezo wako wa kifedha ni mdogo so hautaweza kummudu (kwa mujibu wa maelezo yako)
kama huna uwezo tulia, mtoto ana mahitaji mengi kuliko huyo mke wa pili ambaye umekiri huna wezo wa kumtunza,bora mke wapili ana mikono na miguu anaweza akapambana ila mtoto atakutegemea kwa kila kitu,mavazi,chakula ,hospitali,elimu,nk .tafuta pesa kwanza
 
Eti unatafuta single mother umbebeshe mzigo tena wa mtoto wa pili, ndo maana Mungu hakupi maana anajua magumu atayopitia mwanamke utayembebesha mzigo wako maana unasema hauna uwezo wa kuoa mke wa pili, it means hata matunzo ya mtoto itakuwa shida
 
Hospital mlishawahi enda?
Ndugu nawapa salam

Mimi ni kijana ambaye niliamua bila kushinikuzwa na mtu kuoa ningali kijana. Huku shauku kubwa ikiwa ni kupata na kulea kizazi changu ningali kijana na mwenye nguvu. Kifup nilikuwa na shauku kubwa ya kupata mtoto.

Nlioa nikiwa na umr wa miaka 26 ila mpaka sasa ni miaka 5 ndan ya ndoa sijabahatika kupata mtoto. Kinachoniuma zaid umr unazid songa na wadogo zangu wanawatoto.

Kifupi kuna shida ambayo inamsumbua mke wangu na nimejarib ktk hospital bila mafanikio, tiba asili na mitishamba pamoja na maombi bila mafanikio.

Hospital tumepima mpka ultra sound tatizo hamna dawa mbalimbali zimetumika mpaka zakutumbukiza ktk mfumo wa uzazi bila majib.

Tiba asili na mitishamba nako halikadhalika hakuna matokea. Kila aliesema yy anajua tulimtafuta na matokeo ni sifur.

Na ktk maombi pia ni hivyo hivyo. Mm ni mwislam kwaiyo nimepita ktk visomo vya rukya ila bado hakuna matokeo.

Wengi wanashaur ktk uvumilivu na kuwa na subira.
SUBIRA ni jambo kubwa sana na sina shaka na hilo, ila kw kipind chote hicho najihis mpweke na mnyonge sana nikiwa mtaani washkaj na marafik wakihangaika na watoto wao mara uniform mara madaftar mara hiki mara kile ilimrad tu kila mtu anahangaika na damu yake. ROHO INANIUMA SANA.

Unajua wanaume tunatafuta hela kwa ajili ya wanawake na watoto asa hata nguvu ya kuzisaka nakosa. Nataman na mimi iwe asubuh afu mtoto alietokana na mimi (my blood) aje kitandan na kuniita BABA NATAKA HELA NIKANUNUE SAMBUSA NJE. Hii huleta furaha sana asikwambie mtu na nguvu pia ya kuzitafuta inakuja maradufu.

Imefika hatua nataman sana kutafuta hata mtoto angalau mmja tu nje ya ndoa na hapo ndipo tatizo lingine linapoanzia.
Kila msichan ninaejarb kumtongoza ananielewa vizur tu ila kabla ya kufanya lolote naye swali la kwanza hujaoa? hapo napataga wakt mgumu sana kujibu, binafsi dhambi inayonitafuna sana ni kuongea ukweli na kuogopa kumdanganya msichana ktk mapenz. Nikimwambia sina itakuaje pale atakapopiga sim usiku na kutuma mesej nimi muda huo nipo na wife. Mbaya zaid mke nilie nae ana wivu mpaka balaa na ukimkosea kidogo basi yeye hupeleka fikra zake ni kwa vile sina mtoto. Kifupi nachunga sana ili asikwazike na awe na furaha japo wote tupo na stress.

Kifupi sipendi kudanganya kuepusha hayo yote. Dini yangu inanipa fursa ya kuoa mke zaid ya mmoja ila nalo ni changamoto sana, binti kumwambia nikuoe mke w pili nayo ni shida kubwa n lazima uwe n uwezo nami nikijiangalia sina uwezo wa kuhimili ndoa ya pili na uwezo wa kifedha pia ni changamoto.

Niliamua kutafuta angalau nimpate single mother ambaye tayar ana uwezo wa kujisimamia japo kidogo ili nianzie alipoishia tusonge mbele nami anizalie wangu tukshibana tujenge familia ila nalo ni changamoto sana. Nimefungua na uzi kabisa hapa jf nikitaka single mother ila sijaona mwitikio bado.

Kifupi tu inafikirisha sana na kila ninaemfikiria na kumkabili kumweleze kuwa nahitaj mtoto ROHO inanambia utapotea na utatafutiwa au upewe mimba isiyo yako. Nataman kufanya ngono hovyo na huyu na yule then nikae nisubir kuletewa mimba ila nawaza na kufikir magonjw nabaki nanywea. Nyumban wananiangalia tu nami naangalia chini mwingine ananiuliza huna hata mtoto nje nabaki natabasam kumfumba naye anabaki haelewi...!

Jamani wana jf niko hapa kupokea maoni nifanye nn nipate japo mmoja wa kuanzia. Umr unaenda kasi sana nami sipendi mwaka huu uishe bila mtoto au hata mimba tu. Kwa upande wa mke wangu yy bado mdogo 23yrs so hata ikitokea miaka mingne 4 au 5 ya kuhangaika ikatokea kupata mtoto bado si mbaya sana nikijilinganisha na mm saiv nina 30+.

Karibun.....




Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona umeelekeza lawama zote kwa mkeo. Wewe una uwezo wa kumtandika mtu mimba? Umeshafanyiwa uchunguzi wa kina kuhusu ubora wa mbegu zako kama kweli zinaweza kuihimili ile safari ndefu ya kwenda kulisaka yai na kama zinajua la kufanya zikilifikia?

Wanaume wengi hudhani kuwa kwa vile wanaweza kupiga mabao basi otomatikale wanaweza kuzalisha. Usiwe mmoja wao na tatizo hapa linaweza kuwa ni wewe !!!
 
Ndugu nawapa salam

Mimi ni kijana ambaye niliamua bila kushinikuzwa na mtu kuoa ningali kijana. Huku shauku kubwa ikiwa ni kupata na kulea kizazi changu ningali kijana na mwenye nguvu. Kifup nilikuwa na shauku kubwa ya kupata mtoto.

Nlioa nikiwa na umr wa miaka 26 ila mpaka sasa ni miaka 5 ndan ya ndoa sijabahatika kupata mtoto. Kinachoniuma zaid umr unazid songa na wadogo zangu wanawatoto.

Kifupi kuna shida ambayo inamsumbua mke wangu na nimejarib ktk hospital bila mafanikio, tiba asili na mitishamba pamoja na maombi bila mafanikio.

Hospital tumepima mpka ultra sound tatizo hamna dawa mbalimbali zimetumika mpaka zakutumbukiza ktk mfumo wa uzazi bila majib.

Tiba asili na mitishamba nako halikadhalika hakuna matokea. Kila aliesema yy anajua tulimtafuta na matokeo ni sifur.

Na ktk maombi pia ni hivyo hivyo. Mm ni mwislam kwaiyo nimepita ktk visomo vya rukya ila bado hakuna matokeo.

Wengi wanashaur ktk uvumilivu na kuwa na subira.
SUBIRA ni jambo kubwa sana na sina shaka na hilo, ila kw kipind chote hicho najihis mpweke na mnyonge sana nikiwa mtaani washkaj na marafik wakihangaika na watoto wao mara uniform mara madaftar mara hiki mara kile ilimrad tu kila mtu anahangaika na damu yake. ROHO INANIUMA SANA.

Unajua wanaume tunatafuta hela kwa ajili ya wanawake na watoto asa hata nguvu ya kuzisaka nakosa. Nataman na mimi iwe asubuh afu mtoto alietokana na mimi (my blood) aje kitandan na kuniita BABA NATAKA HELA NIKANUNUE SAMBUSA NJE. Hii huleta furaha sana asikwambie mtu na nguvu pia ya kuzitafuta inakuja maradufu.

Imefika hatua nataman sana kutafuta hata mtoto angalau mmja tu nje ya ndoa na hapo ndipo tatizo lingine linapoanzia.
Kila msichan ninaejarb kumtongoza ananielewa vizur tu ila kabla ya kufanya lolote naye swali la kwanza hujaoa? hapo napataga wakt mgumu sana kujibu, binafsi dhambi inayonitafuna sana ni kuongea ukweli na kuogopa kumdanganya msichana ktk mapenz. Nikimwambia sina itakuaje pale atakapopiga sim usiku na kutuma mesej nimi muda huo nipo na wife. Mbaya zaid mke nilie nae ana wivu mpaka balaa na ukimkosea kidogo basi yeye hupeleka fikra zake ni kwa vile sina mtoto. Kifupi nachunga sana ili asikwazike na awe na furaha japo wote tupo na stress.

Kifupi sipendi kudanganya kuepusha hayo yote. Dini yangu inanipa fursa ya kuoa mke zaid ya mmoja ila nalo ni changamoto sana, binti kumwambia nikuoe mke w pili nayo ni shida kubwa n lazima uwe n uwezo nami nikijiangalia sina uwezo wa kuhimili ndoa ya pili na uwezo wa kifedha pia ni changamoto.

Niliamua kutafuta angalau nimpate single mother ambaye tayar ana uwezo wa kujisimamia japo kidogo ili nianzie alipoishia tusonge mbele nami anizalie wangu tukshibana tujenge familia ila nalo ni changamoto sana. Nimefungua na uzi kabisa hapa jf nikitaka single mother ila sijaona mwitikio bado.

Kifupi tu inafikirisha sana na kila ninaemfikiria na kumkabili kumweleze kuwa nahitaj mtoto ROHO inanambia utapotea na utatafutiwa au upewe mimba isiyo yako. Nataman kufanya ngono hovyo na huyu na yule then nikae nisubir kuletewa mimba ila nawaza na kufikir magonjw nabaki nanywea. Nyumban wananiangalia tu nami naangalia chini mwingine ananiuliza huna hata mtoto nje nabaki natabasam kumfumba naye anabaki haelewi...!

Jamani wana jf niko hapa kupokea maoni nifanye nn nipate japo mmoja wa kuanzia. Umr unaenda kasi sana nami sipendi mwaka huu uishe bila mtoto au hata mimba tu. Kwa upande wa mke wangu yy bado mdogo 23yrs so hata ikitokea miaka mingne 4 au 5 ya kuhangaika ikatokea kupata mtoto bado si mbaya sana nikijilinganisha na mm saiv nina 30+.

Karibun.....




Sent using Jamii Forums mobile app
Dah . ..pole sana Brother nimevaa viatu vyako vizito.
Angalia je unaweza kumvumilia mkeo ukishindwa kabisa muweke chini mkubaliane kuwa unaitaji mtoto. Tafuta mtu mzalishe hvyo maisha yaendelee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom