Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
- Thread starter
- #21
PHP:
So kama huna uwezo wa kutunza huyo mtoto inabidi tu uzae kwa sababu umri unaenda au? au kama hujaolewa ujibebeshe mimba hata kwa mume wa mtu kisa umri unaenda au? Naamini mungu aliekupangia kuolewa au kuoa ukiwa na umri wa miaka 45 ana makusudi yake kwako. Kwani mbona sara alizaa akiwa na miaka 90? Kila kitu anapanga Mungu wajameni.
Kusema kwamba umri huu sio sahihi kwa hili au kwa lile ndio unaosababisha wakinamama akishafikisha umri basi hata kama Mungu hajampangia anabeba mume wa mtu au anajibebesha mimba makusudi na kulazimisha ndoa matokeo yake ni ndoa zenye utata kila siku mikwaruzo. Ukiuliza kisa naona umri unaenda naogopa kuzeeka bila kuzaa au kuolewa
Hakuna takwimu zinazonyesha ya kuwa ukichelewa kuolewa au kuzaa basi mambo yako yataimarika.................