Entreprenegro
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 601
- 132
Tembocard, Master Card, usafiri, nyumba na uwe una elimu ya chuo kikuu
Mbona wengine wanavo lakn hawajaoa?? Na ivo vitu labda mtoto wa fisadi tz hii MTU anamaliza chuo 24 age apambane na ajira tuseme 26 age.. mshahara wa kwanza mdogo apate gari LA mkopo 8 milion alipe hapo 28 aanze kujenga na vitu vingine 35 undo aoe hii ni wastage of time..