Me i think issue sio umri...... may be kuonesha yupo serious ni pale anapojitambulisha, kulipa mahari (kama ni muhimu) and then ikafuatiwa na kiapo......hapo ni utimilifu wa kuonesha kuwa someone is serious with you... nasisitiza kiapo kwani sometimes watu wameishia njiani katika stage mojawapo kwa sababu mbali mbbali ikiwemo lack of seriousness!!