Kiba
JF-Expert Member
- Mar 23, 2012
- 459
- 62
Umoja wa wenyeviti wa vitongoji wilayani Hai mkoani kilimanjaro umetangaza kutoshirikiana na makarani wa sensa kwa sababu hawajashirikishwa katika semina hivyo hawajui cha kwenda kuwaambia wananchi wao siku hiyo hivyo basi makarani waliofundishwa waende wenyewe wasiombe misaada kwao kabisa ya kuonyeshwa kaya hila wao wako tayari kwa moyo mkunjufu kuesabiwa.
Habari hii nimeisikiliza kupitia BOMA HAI FM RADIO (BH FM)
Habari hii nimeisikiliza kupitia BOMA HAI FM RADIO (BH FM)