everybody
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 337
- 103
Hivi ni halali hii jumuiya kuitwa "UWT" kama ni kwa ajili ya wanawake wa CCM tu? Nafikiri kuna umuhimu wa kuibadilisha jina iwe "umoja wa wanawake wa CCM Tanzania" ili UWT litumike pale kutakapokuwa na jumuiya au umoja wa wanawake usiokuwa na linkage to any political party. Nafikiri lengo kuu la kuanzishwa UWT lilikuwa hilo sasa CCM wamehama na jina kama lilivyo wakati UWT ilitakiwa kuwa ya wanawake wote na sio wa CCM tu.