Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,859
- 930
Umoja wa Wanawake (UWT) Wilaya ya Igunga umetumia Siku ya tarehe 29 Januari 2023 kufanya uzinduzi ujenzi wa nyumba ya Katibu wa Wilaya ikiwa ni muendelezo wa matukio mbalimbali yanayofanywa na Jumuiya za Chama cha Mapinduzi (CCM) kuelekea mahadhimisho ya Miaka Arobaini na Sita ya Kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi (CCM).
Aidha Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake (UWT) kwa niaba ya Wanawake wa UWT Igunga ametumia hafla ya uzinduzi kumshukuru Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa kwa ushirikiano anaowapatia mpaka hatua ya kuanza Ujenzi.
Viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Igunga wametumia hafla ya uzinduzi kuhamasisha ushirikiano na Umoja katika kujenga Chama na Jumuiya zake.
Imetolewa na:
Nassor Saleh Amour
Igunga, Tabora
29 Januari 2023
Aidha Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake (UWT) kwa niaba ya Wanawake wa UWT Igunga ametumia hafla ya uzinduzi kumshukuru Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa kwa ushirikiano anaowapatia mpaka hatua ya kuanza Ujenzi.
Viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Igunga wametumia hafla ya uzinduzi kuhamasisha ushirikiano na Umoja katika kujenga Chama na Jumuiya zake.
Imetolewa na:
Nassor Saleh Amour
Igunga, Tabora
29 Januari 2023