Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,834
- 155,782
Wanawake hapa ndani si wengi sana,
nadhani kuna haja ya kuanzisha umoja wao ambao utasababisha changamoto ndani ya forum.
Wanawake ni ma organizer wazuri sana,
pia wanashiriki kikamilifu shughuli zote za kijamii kama misiba, send off, kitchen party na nyingine.
Je mnaonaje kwa uwepo wenu hapa jamvini mkajiorganize na kupanga ni sehemu gani ya jamii ambayo iko taabuni tuitembelee na kuongea nao kwa kuwasaidia chochote?
Sehemu hizo ni kama nyumba za watoto yatima, shule zenye uhaba wa madawati, waliokumbwa na mafuriko na kadhalika.
Naamini watu kumi wenye moyo wakijichanga kwa moyo na kutoa hata 50,000 wanaweza kufanya kitu cha kuiinua jamii yetu na kuipunguzia ukali wa maisha .
nadhani kuna haja ya kuanzisha umoja wao ambao utasababisha changamoto ndani ya forum.
Wanawake ni ma organizer wazuri sana,
pia wanashiriki kikamilifu shughuli zote za kijamii kama misiba, send off, kitchen party na nyingine.
Je mnaonaje kwa uwepo wenu hapa jamvini mkajiorganize na kupanga ni sehemu gani ya jamii ambayo iko taabuni tuitembelee na kuongea nao kwa kuwasaidia chochote?
Sehemu hizo ni kama nyumba za watoto yatima, shule zenye uhaba wa madawati, waliokumbwa na mafuriko na kadhalika.
Naamini watu kumi wenye moyo wakijichanga kwa moyo na kutoa hata 50,000 wanaweza kufanya kitu cha kuiinua jamii yetu na kuipunguzia ukali wa maisha .