NYARUKURURU
JF-Expert Member
- Aug 22, 2016
- 349
- 199
Umekalia misumari weweAkiwa kazini akishaweka makalio pale kwenye korido Lumumba na akili anazikalia vile vile.
Umekalia misumari weweAkiwa kazini akishaweka makalio pale kwenye korido Lumumba na akili anazikalia vile vile.
Wewe zombie endelea kusubiri mpaka upate mimbaHamtoki nyinyi masikini wa kutupwa , safari hii wazungu hamwachi mtu kudadeki ! Hivi wapiga kura 58,750 waliojitokeza uchaguzi wa march 20 wanawezaje kuamua hatima ya Zanzibar ?
juzi mwigulu nchemba kafatwa na balozi wa uingereza ofisini kuhusu kuminywa kwa demokrasia.
The pressure is mounting up,tutajua tu nani kidume wa dunia
Nenda Ulaya wakutwale weweKilichofanyika Zanzibar ni Uhuni wa mchana ...
Zero brain weeTrampuuuuuuuuuuuu, we are waiting for you!!!
Hawa wajinga hata lowasa aliwadanganya a naenda Icc sijui bado hajarudi?Acha mipasho, we mtoto wa kiume...
Tumia kichwa kufikiri.
Ukishindwa kufikiri unawafanya wengine wafikiri badala yako!Hakuna anayewashutumu. Ila hawana mamlaka ya kuingilia mambo yetu ya ndani
Hakuna wa kumbabaisha JPM, hili ni Taifa huru, yeyote akaeleta chokochoko anakipatakweli maana we are super power!!!!!!!!!!!!!!!
nyerere aliweza hawa wataweza?????????????
mumeo amesharudi?Nadhani una umwa na kusagwa wewe Si bure
Huwezi kuifananisha uingereza na Tanzania hata siku moja. Mtawala na mtawaliwa wapi na wapi?Hao Umoja wa Ulaya wamepoteza Mwelekeo. Kama wameshindwa kuidhibiti Uingereza watawezaje mambo y Tanzania?
Kwani wewe ni muingereza ? Why pannic ?"What is Tanzania" unailinganisha Tanzania na uingereza? Are you even Sane? Are you Sober?
Unalingalisha Maji kwenye kijiko na Bahari?
Zero brain weemumeo amesharudi?
Mkuu hadithi kama hivi kazipeleke vijiweni,unajua nini ya neno "Leberal",unazijua nini siasa za kileberali,Ccm haijawahi kupokonya Ushindi chama cha CUf Zanzibar ukweli kuwa CUF ilifanya hujuma ambazo hadi imefikia kujitangazia ushindi hali ya kuwa kipo chombo sahihi kilichoteuliwa kufanya kazi hiyo Majukumu ya Jecha ameyabeba yeye seifu lahau ni Mzandiki mzushi hana nia njema na wazanzibar that why anakwenda kwa waliberal ili asaidiwe azidiashe Ushoga Zanzibar kwa kuwa yeye ni muumimi wa kaumu hiyo hadi kufikia kucheza sunsumia maeneo ya Chukwani unafikiri hayajulikani Msijifanye wasafi katika mitandao badilikeni kaaeneni mtatuwe mgogoro wenu CCm haina muda wa kutaka kukiuwa chama chochote Tanzania na ndio maana wananchi waliowengi tulikataa mfumo wa vyama vingi lakini CCM ikalazimisha matokeo yake ndo haya chama kinaungama na waliberal kinaachiwa tu