jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,322
Huyu jamaa atatuokoa kwa kweli.
Nawaheshimu wamarekani kwa kutuonea huruma na kutuchagulia mtu wa kutukomboa.
Fifi mwenzetu alikuwa anazunguka kama pia mule ikulu.
Sasa anaingia mtu ambaye hana muda wa kushangaa wala kitu cha kushangaa mule ikulu.
Nawaheshimu wamarekani kwa kutuonea huruma na kutuchagulia mtu wa kutukomboa.
Fifi mwenzetu alikuwa anazunguka kama pia mule ikulu.
Sasa anaingia mtu ambaye hana muda wa kushangaa wala kitu cha kushangaa mule ikulu.
kumekucha!!!
Trump naye atamwaga nyuki january baada ya kuapishwa