Umoja wa Ulaya waandaa vikwazo kwa ajili Belarus kutokana na uvunjifu wa haki za binadamu

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,498
9,279
Umoja wa Ulaya unaandaa vikwazo dhidi ya maafisa wa Belarus ambao walihusika na ukandamizaji unaofanywa baada ya uchaguzi dhidi ya waandamanaji ambao umesababisha umwagikaji wa damu.

Idhini ya kutayarisha vikwazo ilitolewa na mawaziri wa mambo ya kigeni wa nchi 27 wanachama wa Umoja wa Ulaya wakati wa mkutano wa video jana.

Watu watakaowekea vikwazo ni pamoja na waliohusika na vurugu za polisi na udanganyifu wa uchaguzi. Maelfu ya waandamanaji waliopinga uchaguzi huo wa wiki iliyopita katika nchi hiyo ya mashariki mwa Ulaya walikamatwa na kuzusha hasira kutoka jamii ya kimataifa.

Wakati wengi wao wameachiliwa huru, waandamanaji kadhaa walizungumzia mateso wakati wa kukamatwa na kuzuiliwa kwao. Jana jioni, maelfu ya watu kwa mara nyingine tena waliandamana kwa amani katika mji mkuu Minsk.
 
Vikwazi is rubbish! Dictators will never heed to Vkwazo. Dictators need guns as was with Dictator Idd Amin. Had it not been for the military intervention of Nyerere, Idd Amin would be in power today!
 
Viktor lukashenko Rais wa Belarus bonge la mtulimepanda hewani rafiki mkubwa sana wa Putin. Huyu jamaa nachompendea ni mkristo Safi sana wa madhehebu ya Orthodox. Amekataa ushoga Belarus na wa Belarus wanampenda. EU wamemuwwkea vikwazo toka zamani lakini wapi hadi walimuomba ajiunge EU kakataa.

Moldova nao tayari wamelegea Sasa hivi wanafikiriwa kuingizwa EU. Lakini Moldova wa upande wa Urusi wenyewe wamesema watabaki na Russia. Ni hawa moldova wenye asili ya Romania ndio wanaegemea Eu
Huyu jamaa alikuwa rafiki mkubwa sana wa bwana mkubwa Putin, ila wakaja kukorofishana kwa sababu ya Putin kuwaongezea bei ya mafuta.Bwana Lukashenko akatoa sana shit kwa mkubwa Putin kuwa anatumia mafuta kama njia ya kuwapelekesha katika nchi yao.

Bwana Lukashenko akamua kuvuka kabisa mstari mwekundu,baada ya kwenda kusign deal la mafuta na Marekani na kuamua kushirikiana nao katika biashara nyingine.Karibia na uchaguzi bwana Lukashenko alidai kuwa kupitia maafisa wake wa usalama wamewakamata warusi 40 wanaofanya kazi kwa ajili ya serikali ya bwana mkubwa Putin, na akakubaliana na serikali ya Ukraine ambao ni maadui wakubwa wa Urusi kuwa atawapa hao warusi 40 ili wakafugwe Ukraine.

Putin akawa mpole huku kichwani akiamini ipo siku bwana Lukashenko atarudi kuomba msaada kwa baba yake.na kweli baada ya maandamano ya kumtaka aondoke na kutishiwa vikwazo na Eu pamoja na majirani zake, akaona ni bora akaombe msaada kwa baba yake Putin.juzi alitaka kwenda moscow kuonana na Putin, ikulu ya Urusi ikasema kuwa Putin hana ratiba ya kuonana na kiongozi huyo.

leo ikabidi hamtafute mzee wake ewani ili amsaidie maana maji yamefika shingoni.baada ya kuongea nae kwenye simu Putin akatoa ujumbe kwa wandishi wa habari kuwa muda sio mrefu mgogoro wa Belarus utakuwa umekwisha, na wa Belarus wenyewe ndo wana haki ya kutatua matatizo yao wenyewe pasipo kuingilia na mataifa mengine na mwisho kabisa akamalizia kuwa Mgogoro wa Belarus utatatuliwa kwa njia ya amani na sio Vita.
 
Huyu jamaa alikuwa rafiki mkubwa sana wa bwana mkubwa Putin, ila wakaja kukorofishana kwa sababu ya Putin kuwaongezea bei ya mafuta.Bwana Lukashenko akatoa sana shit kwa mkubwa Putin kuwa anatumia mafuta kama njia ya kuwapelekesha katika nchi yao.

Bwana Lukashenko akamua kuvuka kabisa mstari mwekundu,baada ya kwenda kusign deal la mafuta na Marekani na kuamua kushirikiana nao katika biashara nyingine.Karibia na uchaguzi bwana Lukashenko alidai kuwa kupitia maafisa wake wa usalama wamewakamata warusi 40 wanaofanya kazi kwa ajili ya serikali ya bwana mkubwa Putin, na akakubaliana na serikali ya Ukraine ambao ni maadui wakubwa wa Urusi kuwa atawapa hao warusi 40 ili wakafugwe Ukraine.

Putin akawa mpole huku kichwani akiamini ipo siku bwana Lukashenko atarudi kuomba msaada kwa baba yake.na kweli baada ya maandamano ya kumtaka aondoke na kutishiwa vikwazo na Eu pamoja na majirani zake, akaona ni bora akaombe msaada kwa baba yake Putin.juzi alitaka kwenda moscow kuonana na Putin, ikulu ya Urusi ikasema kuwa Putin hana ratiba ya kuonana na kiongozi huyo.

leo ikabidi hamtafute mzee wake ewani ili amsaidie maana maji yamefika shingoni.baada ya kuongea nae kwenye simu Putin akatoa ujumbe kwa wandishi wa habari kuwa muda sio mrefu mgogoro wa Belarus utakuwa umekwisha, na wa Belarus wenyewe ndo wana haki ya kutatua matatizo yao wenyewe pasipo kuingilia na mataifa mengine na mwisho kabisa akamalizia kuwa Mgogoro wa Belarus utatatuliwa kwa njia ya amani na sio Vita.
Duuhh huyo ndio mbabe puttin
 
Unafiki huu mpaka lini? Mbona Mataifa hayo ya Ulaya huwa hayavumilii raia wao wakifanya maandamano - wanapigwa risasi za raba mabomu ya machozi na virungu, wengine upoteza maisha, mataifa ya Ulaya na Merikani hawana moral Authority ya kukemea Rais wa Belarusi.
 
Unafiki huu mpaka lini? Mbona Mataifa hayo ya Ulaya huwa hayavumilii raia wao wakifanya maandamano - wanapigwa risasi za raba mabomu ya machozi na virungu, wengine upoteza maisha, mataifa ya Ulaya na Merikani hawana moral Authority ya kukemea Rais wa Belarusi.
Dunia haina usawa.
 
Huyu jamaa alikuwa rafiki mkubwa sana wa bwana mkubwa Putin, ila wakaja kukorofishana kwa sababu ya Putin kuwaongezea bei ya mafuta.Bwana Lukashenko akatoa sana shit kwa mkubwa Putin kuwa anatumia mafuta kama njia ya kuwapelekesha katika nchi yao.

Bwana Lukashenko akamua kuvuka kabisa mstari mwekundu,baada ya kwenda kusign deal la mafuta na Marekani na kuamua kushirikiana nao katika biashara nyingine.Karibia na uchaguzi bwana Lukashenko alidai kuwa kupitia maafisa wake wa usalama wamewakamata warusi 40 wanaofanya kazi kwa ajili ya serikali ya bwana mkubwa Putin, na akakubaliana na serikali ya Ukraine ambao ni maadui wakubwa wa Urusi kuwa atawapa hao warusi 40 ili wakafugwe Ukraine.

Putin akawa mpole huku kichwani akiamini ipo siku bwana Lukashenko atarudi kuomba msaada kwa baba yake.na kweli baada ya maandamano ya kumtaka aondoke na kutishiwa vikwazo na Eu pamoja na majirani zake, akaona ni bora akaombe msaada kwa baba yake Putin.juzi alitaka kwenda moscow kuonana na Putin, ikulu ya Urusi ikasema kuwa Putin hana ratiba ya kuonana na kiongozi huyo.

leo ikabidi hamtafute mzee wake ewani ili amsaidie maana maji yamefika shingoni.baada ya kuongea nae kwenye simu Putin akatoa ujumbe kwa wandishi wa habari kuwa muda sio mrefu mgogoro wa Belarus utakuwa umekwisha, na wa Belarus wenyewe ndo wana haki ya kutatua matatizo yao wenyewe pasipo kuingilia na mataifa mengine na mwisho kabisa akamalizia kuwa Mgogoro wa Belarus utatatuliwa kwa njia ya amani na sio Vita.
Alisahau kinatokea nini uki wakazia watu wa magharaibi kisha baaye ukajifanya kichaa na kuwafanya rafiki zako.
Awaulize Saddam Hussein, Ghadaf and the like..
 
Umoja wa Ulaya unaandaa vikwazo dhidi ya maafisa wa Belarus ambao walihusika na ukandamizaji unaofanywa baada ya uchaguzi dhidi ya waandamanaji ambao umesababisha umwagikaji wa damu.

Idhini ya kutayarisha vikwazo ilitolewa na mawaziri wa mambo ya kigeni wa nchi 27 wanachama wa Umoja wa Ulaya wakati wa mkutano wa video jana.

Watu watakaowekea vikwazo ni pamoja na waliohusika na vurugu za polisi na udanganyifu wa uchaguzi. Maelfu ya waandamanaji waliopinga uchaguzi huo wa wiki iliyopita katika nchi hiyo ya mashariki mwa Ulaya walikamatwa na kuzusha hasira kutoka jamii ya kimataifa.

Wakati wengi wao wameachiliwa huru, waandamanaji kadhaa walizungumzia mateso wakati wa kukamatwa na kuzuiliwa kwao. Jana jioni, maelfu ya watu kwa mara nyingine tena waliandamana kwa amani katika mji mkuu Minsk.
Huwa mimi nacheka sana ninaposikia double standards za namna hii.Hivi wao uovu wote wanaofanyia wanadamu including kutuletea mateso makubwa ya C-19 ambayo yame-ruin the World
economy,putting people out of jobs,destroying businesses,killing people on a daily basis and of course not forgetting other many incurable diseases etc.etc.,nani kawawekea vikwazo.It is so distasteful.Hawa wana agenda zao za kipuuzi za siri kwa Belarus,hamna lolote.
 
Back
Top Bottom