Umoja wa Ulaya (European Union) imetangaza kukatiza msaada wake kwa nchi ya Burundi kutokana na kile ilitaja kuwa ukiukwaji wa haki za binadamu.
View attachment 1645037
Wameanzia nyumbani kudadaki, Kisha wanakuja ugeniniUmoja wa Ulaya (European Union) imetangaza kukatiza msaada wake kwa nchi ya Burundi kutokana na kile ilitaja kuwa ukiukwaji wa haki za binadamu.
View attachment 1645037
Hii ni habari ya lini mkuu? maana EU walikata msaada wao kwny hio nchi tangu 2016.Umoja wa Ulaya (European Union) imetangaza kukatiza msaada wake kwa nchi ya Burundi kutokana na kile ilitaja kuwa ukiukwaji wa haki za binadamu.
View attachment 1645037
Hii ni habari ya lini mkuu? maana EU walikata msaada wao kwny hio nchi tangu 2016.
Thnxs kwa link mkuu,jana dikteta wa Burundi alikutana na wajumbe wa EU nikahisi wanaweza kumsamehe halafu wakawa wamezingua.Burundi: EU extends sanctions for another year until 31 December 2021
On 29 October 2020, the Council of the European Union extended for an additional year the sanctions regime against Burundian officials responsible (…)www.fidh.org
Thnxs kwa link mkuu,jana dikteta wa Burundi alikutana na wajumbe wa EU nikahisi wanaweza kumsamehe halafu wakawa wamezingua.
Beberu anazugwa!Sasa wafanye kweli na hapa kwetu maana maccm baada ya wizi wao yanahangaika sana mpaka kufikia kufoji saini ya Mnyika ili tu COVID19 waingie bungeni ili kuwazuga MABEBERU kwamba bungeni kuna wapinzani hivyo tuendelee kuvuta mpunga wao wa matrillions.
Huu mpendi sana jiwe wewe.Show me your friend, and I will tell you who you are.
We lofa sana, hakuna wa kuiwekea vikwazo Tanzania, by the way, haki ipi imekiukwa Hapa nchini? na kama vikiwekwa wewe una benefit nini?Tanzania tunafatia, tena vikwazo vitakua vya "KIWANGO CHA LAMI", itakua zaidi ya Burundi.
Afrika ni bara la vituko sana, alieturoga anatakiwa apewe tuzo ya "NOBEL WITCHCRAFT AWARD". Yani Rais huyo wa Burundi anavaa "CHENI YA DHAHABU", wakati raia wana njaa na hawana hata hela ya kununua Panadol, wengine wamekimbilia hifadhi Kigoma na hawataki kurudi kwao kwa kuogopa njaa.
Huyu si alikua mhuni tuu juzi juzi wakati anakuja kusuhulishwa hapa na JK akiwa na wenzake bas tuu kapata urais ndio hivyoTanzania tunafatia, tena vikwazo vitakua vya "KIWANGO CHA LAMI", itakua zaidi ya Burundi.
Afrika ni bara la vituko sana, alieturoga anatakiwa apewe tuzo ya "NOBEL WITCHCRAFT AWARD". Yani Rais huyo wa Burundi anavaa "CHENI YA DHAHABU", wakati raia wana njaa na hawana hata hela ya kununua Panadol, wengine wamekimbilia hifadhi Kigoma na hawataki kurudi kwao kwa kuogopa njaa.
Weka bado la kutosha umuangalie zito alivyokua wanayajenga na mwenzake wa ccm huku maalim seif akiapishwa we umebaki hapo kunita mzalendo ,munachezea vipondo wenzenu wanapeana mikono mambo kama kawa wewe umebaki kuendeleza maneno yako yasiyotoka kichwani wenzako waliokumezesha maneno hayo washayasahau zaman wanamuelekeo mwengine .usipokua na akili ya kuchanganua mambo utapata tabu sana hapa dunianiWe mdudu umefufuka. Kulianzishwa "THREAD" humu JamiiForums, kwamba alivyopewa "UBUNGE" mjomba wenu Polepole basi wapiga debe wote lumumba mlisitishiwa ile posho ya 7,000/=. Wengine mkahamia Mwananyamala na Sinza Mori kujiuza.
Nakusihi, kama huna taarifa na kama unatumia "MKOPO WA VOCHA" kuendeleza mapambio ya lumumba humu JF, utaadhirika. Posho imefutwa. Wenzio wameshakimbia JF. Shauri yako.
😀😀 Jamaa kavaa bonge la cheni dahh Kama 50centTanzania tunafatia, tena vikwazo vitakua vya "KIWANGO CHA LAMI", itakua zaidi ya Burundi.
Afrika ni bara la vituko sana, alieturoga anatakiwa apewe tuzo ya "NOBEL WITCHCRAFT AWARD". Yani Rais huyo wa Burundi anavaa "CHENI YA DHAHABU", wakati raia wana njaa na hawana hata hela ya kununua Panadol, wengine wamekimbilia hifadhi Kigoma na hawataki kurudi kwao kwa kuogopa njaa.
Natamani kupata "sosi" ili nipate uelewa kwa upanaUmoja wa Ulaya (European Union) imetangaza kukatiza msaada wake kwa nchi ya Burundi kutokana na kile ilitaja kuwa ukiukwaji wa haki za binadamu.
View attachment 1645037