Fursa Pesa
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 4,433
- 3,254
AFRICA itakuwa Huru siku AU itakapoikubalia Israel kuwa ni mmojawapo ya wanachama wake.
Hii itavunja hila na mbinu zote za wazungu kuitawala Afrika na kurejesha ustaarabu wa Dunia ya kale, kuondoa dhana ya uarabu, uzungu, weusi, imani za dini na ubaguzi.
Hii itavunja hila na mbinu zote za wazungu kuitawala Afrika na kurejesha ustaarabu wa Dunia ya kale, kuondoa dhana ya uarabu, uzungu, weusi, imani za dini na ubaguzi.