Janja PORI
JF-Expert Member
- Jul 31, 2011
- 825
- 246
wakuu nimekaa nkatafakari nkaona hali ya nchi ni tete, binafsi najiuliza
1. Balozi za mataifa nchini wanayaona haya yanayoendelea hapa nchini¿ ?
2. UN representatives wapo kweli nchini hali imekuwa tete wagonjwa hawana pa kwenda.
3.ILO wanasemaje kuhusu vituko wanavofanyiwa madaktari ikiwemo condition ya kazi .... mfano leo tanga mwanamke amekufa kwa jili tu hospitali haina x try mh.....
4.mh Raisi yupo kweli hata tamko moja hamna kuhusu hali tete
5.je? ni sawa kuandama kuping madaktari kugoma kisa hawana vifaa vya kazi au ni bora kuandamana kugomea serikali isikilize mahitaji ya madktari.....
6. namtakia dr pole ilaaaaaa narudia tena ilaaaaaaaaa
ipo siku
7.Spika wa bunge bwana mahakamani mambk mangapi yapo bt yanazungumziwa......
mbona the day before walizungumzia mh
1. Balozi za mataifa nchini wanayaona haya yanayoendelea hapa nchini¿ ?
2. UN representatives wapo kweli nchini hali imekuwa tete wagonjwa hawana pa kwenda.
3.ILO wanasemaje kuhusu vituko wanavofanyiwa madaktari ikiwemo condition ya kazi .... mfano leo tanga mwanamke amekufa kwa jili tu hospitali haina x try mh.....
4.mh Raisi yupo kweli hata tamko moja hamna kuhusu hali tete
5.je? ni sawa kuandama kuping madaktari kugoma kisa hawana vifaa vya kazi au ni bora kuandamana kugomea serikali isikilize mahitaji ya madktari.....
6. namtakia dr pole ilaaaaaa narudia tena ilaaaaaaaaa
ipo siku
7.Spika wa bunge bwana mahakamani mambk mangapi yapo bt yanazungumziwa......
mbona the day before walizungumzia mh