William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Walitoa msimamo na waraka juu ya katiba mpya na waliipinga kwa nguvu zote.
Vipi wapo kimya juu ya mjadala unaohusu ujambazi mkubwa huu tena wa wazi kabisa.
Tunajua kuna maaskofu mlipata mgao ila tunaamini hamkujua ni za dili. Benki iliyokuwa inatumika kuziiba fedha ni ya kanisa katoliki ndiomaana mko kimya
MMKO WAPI MAASKOFU WETU. ZIPO WAPI CHURCH MOVEMENT KAMA ZILIZOKUWEPO ENZI ZA KUPIGANIA UHURU.
ZIKO WAPI ISLAMIC MOVMENT ZA KUPIGANIA HAKI NA USAWA
Vipi wapo kimya juu ya mjadala unaohusu ujambazi mkubwa huu tena wa wazi kabisa.
Tunajua kuna maaskofu mlipata mgao ila tunaamini hamkujua ni za dili. Benki iliyokuwa inatumika kuziiba fedha ni ya kanisa katoliki ndiomaana mko kimya
MMKO WAPI MAASKOFU WETU. ZIPO WAPI CHURCH MOVEMENT KAMA ZILIZOKUWEPO ENZI ZA KUPIGANIA UHURU.
ZIKO WAPI ISLAMIC MOVMENT ZA KUPIGANIA HAKI NA USAWA