Dunia yakoo
Senior Member
- Nov 23, 2019
- 139
- 214
Umoja huu umeanziwa na watanzania walioweka itikadi za vyama pembeni na kuweka Taifa mbele #ukukamta2021
Hapo ni kweli kabisa Ukizingatia, Bunge lenye Upinzani Hamna kabisa, Tusubiri amalize Miaka yake Mitano kwanza.Watanzania tusipoungana kwa hili la kudai katiba mpya itakula kwetu kwani kuna kuna kila dalili ya kuibuka genge fulani litakalochezea akili zetu kwa kuchomeka vifungu ambavyo vitakuwa mwiba ktk mustakabali wa taifa letu.
Wasiliana nao kupita Whatsap No. 0678367707Nahitaji kujiunga na umoja huu, sifa gani natakiwa kuwa nazo?
Naomba kua mwanachama....
This is long time overdue
Tutawezaje kuwa na katiba mpya ndani ya Bunge la chama kimoja, hata tulipokuwa na Bunge la vysma vingi wananchi tulidhindwa kuwaunha mkono wabunge wa upinzani kiasi mchakato wote ukaonekana ni matakwa yao na si yawatanzania.Umoja huu umeanziwa na watanzania walioweka itikadi za vyama pembeni na kuweka Taifa mbele #ukukamta2021
View attachment 1689933
Hebu acha hizo! Nenda kawatumikie watz! Yaani kupigwa mkwara tu umeshaanza kudai katiba mpya! Hapa katiba haina msaada!Umoja huu umeanziwa na watanzania walioweka itikadi za vyama pembeni na kuweka Taifa mbele #ukukamta2021
View attachment 1689933