MWANA WA UFALME
JF-Expert Member
- Sep 10, 2010
- 578
- 144
Naona umoja wa afrika mashariki unaelekea kufuata mfumo ule wa umoja wa ulaya lakini swala la kujiuliza ni nini tumejifunza kutuka umoja wa ulaya?
Sasa jamaa wanafikiria kuachana, na ni vizuri kuelewa kwanini wamefikia hapo,
mwenzako akianza kunyolewa, wewe tia zako maji.
Sasa jamaa wanafikiria kuachana, na ni vizuri kuelewa kwanini wamefikia hapo,
mwenzako akianza kunyolewa, wewe tia zako maji.