Umoja wa Nchi za Afrika umepitisha rasmi Lugha ya Kiswahili kuwa Lugha ya kazi kwa shughuli zote za umoja huo sambamba na hilo pia imetenga Bajeti maalumu kuhakikisha lugha ya kiswahili inatumika kikamilifu kwa shughuli zote za umoja huo.
pia ripoti mbalimbali zimeanza kuchapishwa kwa lugha ya kiswahili.
Hakika Lugha ya Kiswahili inazidi kushamiri na kupewa umuhimu mkubwa duniani.
Kama AU, SADC n.k zimedhamiria kutumia lugha ya kiswahili kwenye shughuli zake za kila siku, nashangaa sana kuona baadhi ya vyombo vyetu vya kutoa haki kwa wananchi bado vinajivuta ktk matumizi ya lugha ya kiswahili.
Chanzo:
Chanel ten Habari.
pia ripoti mbalimbali zimeanza kuchapishwa kwa lugha ya kiswahili.
Hakika Lugha ya Kiswahili inazidi kushamiri na kupewa umuhimu mkubwa duniani.
Kama AU, SADC n.k zimedhamiria kutumia lugha ya kiswahili kwenye shughuli zake za kila siku, nashangaa sana kuona baadhi ya vyombo vyetu vya kutoa haki kwa wananchi bado vinajivuta ktk matumizi ya lugha ya kiswahili.
Chanzo:
Chanel ten Habari.