johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,716
- 141,579
Kamishna wa AU mh Bade kwa niaba ya Umoja wa Afrika amempongeza kwa dhati Rais wa Tanzania Dr Magufuli kwa kuzitekeleza kwa vitendo ndoto za mwalimu Nyerere za kuiunganisha bara la Afrika.
Bade ametoa pongezi hizo jijini Arusha wakati akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa jengo la makao makuu ya mashirika ya Posta Afrika ( PAPU)
Jengo hilo litamilikiwa kwa ubia kati ya PAPU na serikali ya Tanzania ambapo PAPU itamiliki 60% na GoT kupitia TCRA 40%
Sherehe hiyo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa barani Afrika na Tanzania tumeongozwa na Waziri wa ujenzi na mawasiliano mh Kamwele.
Chanzo: ITV habari!
Bade ametoa pongezi hizo jijini Arusha wakati akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa jengo la makao makuu ya mashirika ya Posta Afrika ( PAPU)
Jengo hilo litamilikiwa kwa ubia kati ya PAPU na serikali ya Tanzania ambapo PAPU itamiliki 60% na GoT kupitia TCRA 40%
Sherehe hiyo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa barani Afrika na Tanzania tumeongozwa na Waziri wa ujenzi na mawasiliano mh Kamwele.
Chanzo: ITV habari!