Umoja wa Afrika ( AU) wampongeza Rais Magufuli kwa kutekeleza kwa vitendo ndoto za mwalimu Nyerere za kuiunganisha Afrika

Rohoo ya korosho!
_20200118_221027.JPG
 
Naona arusha majengo ya maana yanaendelea kuongezeka kila uchao safi.

Na kweli wajenge jengo la maana kale kaofisi hakakuwa na hadhi ya an international organisation office. Hongera TCRA kuwapiga tough. Tanzania ni mdau muhimu sana wa AU na Taasisi nyingi za kikanda.

Juzi hapa Kenya wameshaanza kulialia eti kwann idara nyingi za EAC zipo Tanzania wanataka mgawanyo sawa among members!

Screenshot_20200119-084335_Chrome~2.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kamishna wa AU mh Bade kwa niaba ya Umoja wa Afrika amempongeza kwa dhati Rais wa Tanzania Dr Magufuli kwa kuzitekeleza kwa vitendo ndoto za mwalimu Nyerere za kuiunganisha bara la Afrika.

Bade ametoa pongezi hizo jijini Arusha wakati akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa jengo la makao makuu ya mashirika ya Posta Afrika ( PAPU)

Jengo hilo litamilikiwa kwa ubia kati ya PAPU na serikali ya Tanzania ambapo PAPU itamiliki 60% na GoT kupitia TCRA 40%

Sherehe hiyo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa barani Afrika na Tanzania tumeongozwa na Waziri wa ujenzi na mawasiliano mh Kamwele.

Chanzo: ITV habari!
"Juhudi za kuunganisha Afrika" kwa kujenga jengo? Kama ndivyo si awapongeze makampuni ya simu yaliyounganisha Dunia nzima!
 
Kamishna wa AU mh Bade kwa niaba ya Umoja wa Afrika amempongeza kwa dhati Rais wa Tanzania Dr Magufuli kwa kuzitekeleza kwa vitendo ndoto za mwalimu Nyerere za kuiunganisha bara la Afrika.

Bade ametoa pongezi hizo jijini Arusha wakati akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa jengo la makao makuu ya mashirika ya Posta Afrika ( PAPU)

Jengo hilo litamilikiwa kwa ubia kati ya PAPU na serikali ya Tanzania ambapo PAPU itamiliki 60% na GoT kupitia TCRA 40%

Sherehe hiyo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa barani Afrika na Tanzania tumeongozwa na Waziri wa ujenzi na mawasiliano mh Kamwele.

Chanzo: ITV habari!
Rubbish
 
Mkuu hao n
Sijui Sera yanu ni IPI,kila kitu kupinga tu,kuna siku mtapinga kuwa ninyi si wakiume,mchawi mpe sufa zake,viva jpm

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hao nyumbu achana nao kabisa. Yaani ikitokea Rais akashukuru kwa mvua nyingi kunyesha na kuleta uwezekano wa chakula kingi kupatikana, wao wanaweza kupinga hakuna mvua Tanzania na kudai yale ya Jangwani ni matokeo ya ukame na sio mvua! Na watapinga mpaka wajiaminishe wameshinda!
 
Ujinga mzigo
Kamishna wa AU mh Bade kwa niaba ya Umoja wa Afrika amempongeza kwa dhati Rais wa Tanzania Dr Magufuli kwa kuzitekeleza kwa vitendo ndoto za mwalimu Nyerere za kuiunganisha bara la Afrika.

Bade ametoa pongezi hizo jijini Arusha wakati akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa jengo la makao makuu ya mashirika ya Posta Afrika ( PAPU)

Jengo hilo litamilikiwa kwa ubia kati ya PAPU na serikali ya Tanzania ambapo PAPU itamiliki 60% na GoT kupitia TCRA 40%

Sherehe hiyo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa barani Afrika na Tanzania tumeongozwa na Waziri wa ujenzi na mawasiliano mh Kamwele.

Chanzo: ITV habari!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom