Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,901
- 95,401
Rohoo ya korosho!
Sijui Sera yanu ni IPI,kila kitu kupinga tu,kuna siku mtapinga kuwa ninyi si wakiume,mchawi mpe sufa zake,viva jpm
Sent using Jamii Forums mobile app
Umepewa source bwashee!
Sijui Sera yanu ni IPI,kila kitu kupinga tu,kuna siku mtapinga kuwa ninyi si wakiume,mchawi mpe sufa zake,viva jpm
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasichana wa bavicha kazi sana kuolewa,Habari nzima imejaa vitu vinavyoashiria fake news (likiwemo jina la waziri). Unaunganishaje nchi za Afrika kwa kuchoma vifaranga toka nchi jirani yako (ukiwa ni mfano mmoja tu)?
Hahahaaaa......... Tatizo lako ni jina tu bwashee!Source inayomtaja waziri kwa jina la Kamwele haiwezi kuwa credible. Ni rahisi sana kupata jina sahihi kuliko content sahihi.
Wasichana wa bavicha kazi sana kuolewa,
Ndio maana mko magume gume mpaka sauti.
Sent using Jamii Forums mobile app
"Juhudi za kuunganisha Afrika" kwa kujenga jengo? Kama ndivyo si awapongeze makampuni ya simu yaliyounganisha Dunia nzima!Kamishna wa AU mh Bade kwa niaba ya Umoja wa Afrika amempongeza kwa dhati Rais wa Tanzania Dr Magufuli kwa kuzitekeleza kwa vitendo ndoto za mwalimu Nyerere za kuiunganisha bara la Afrika.
Bade ametoa pongezi hizo jijini Arusha wakati akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa jengo la makao makuu ya mashirika ya Posta Afrika ( PAPU)
Jengo hilo litamilikiwa kwa ubia kati ya PAPU na serikali ya Tanzania ambapo PAPU itamiliki 60% na GoT kupitia TCRA 40%
Sherehe hiyo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa barani Afrika na Tanzania tumeongozwa na Waziri wa ujenzi na mawasiliano mh Kamwele.
Chanzo: ITV habari!
RubbishKamishna wa AU mh Bade kwa niaba ya Umoja wa Afrika amempongeza kwa dhati Rais wa Tanzania Dr Magufuli kwa kuzitekeleza kwa vitendo ndoto za mwalimu Nyerere za kuiunganisha bara la Afrika.
Bade ametoa pongezi hizo jijini Arusha wakati akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa jengo la makao makuu ya mashirika ya Posta Afrika ( PAPU)
Jengo hilo litamilikiwa kwa ubia kati ya PAPU na serikali ya Tanzania ambapo PAPU itamiliki 60% na GoT kupitia TCRA 40%
Sherehe hiyo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa barani Afrika na Tanzania tumeongozwa na Waziri wa ujenzi na mawasiliano mh Kamwele.
Chanzo: ITV habari!
Hekima ipo zaidi kwenye kupinga kuliko kuunga.Sijui Sera yanu ni IPI,kila kitu kupinga tu,kuna siku mtapinga kuwa ninyi si wakiume,mchawi mpe sufa zake,viva jpm
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hao nyumbu achana nao kabisa. Yaani ikitokea Rais akashukuru kwa mvua nyingi kunyesha na kuleta uwezekano wa chakula kingi kupatikana, wao wanaweza kupinga hakuna mvua Tanzania na kudai yale ya Jangwani ni matokeo ya ukame na sio mvua! Na watapinga mpaka wajiaminishe wameshinda!Sijui Sera yanu ni IPI,kila kitu kupinga tu,kuna siku mtapinga kuwa ninyi si wakiume,mchawi mpe sufa zake,viva jpm
Sent using Jamii Forums mobile app
Kamishna wa AU mh Bade kwa niaba ya Umoja wa Afrika amempongeza kwa dhati Rais wa Tanzania Dr Magufuli kwa kuzitekeleza kwa vitendo ndoto za mwalimu Nyerere za kuiunganisha bara la Afrika.
Bade ametoa pongezi hizo jijini Arusha wakati akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa jengo la makao makuu ya mashirika ya Posta Afrika ( PAPU)
Jengo hilo litamilikiwa kwa ubia kati ya PAPU na serikali ya Tanzania ambapo PAPU itamiliki 60% na GoT kupitia TCRA 40%
Sherehe hiyo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa barani Afrika na Tanzania tumeongozwa na Waziri wa ujenzi na mawasiliano mh Kamwele.
Chanzo: ITV habari!