Umoja wa Afrika(AU) uhamie Tanzania

Nakuona rambaramba miguu kazini ili mradi mkono uende kinywani hata kama ni kwa aibu na fedheha
Shida yako kila Jambo huliingizia siasa koko za kimakundi....yaani hata katika masuala ya uzalendo wa kinchi wewe utanyoosha kidole tu kupinga....hivi wewe ni mmawia wa kutoka ng'ambo ya mto Ruvuma eeee?!!!
 
Kufuatia mapigano ya Tigray ya TPLF na vikosi vya serikali kuelekea kuwa vita ya wenyewe kwa wenyewe wakati wowote kuanzia sasa, namshauri Rais Mstaafu Gen. Obasanjo ambaye ni mpatanishi wa mgogoro huo aishauri AU ihamishie Makao Makuu yake Tanzania kwa muda hadi pale amani itakaporejeshwa.
Naunga mkono hoja. Kwanza, Tanzania ina historia ya ukombozi wa Afrika kwa kazi kubwa iliyofanywa na Mwalimu Nyerere, ndiyo maana pale Addis HQ ya AU, kuna sanamu ya Mwalimu kutambua mchango wake wa ukombozi, umoja wa Afrika na kutetea wanyonge.

Pili, Tanzania chini ya Mwalimu ni sehemu ya historia ya chimbuko la OAU na baadae AU. Huwezi kuzungumzia AU na kumuacha Mwalimu, Nkrumah. Hawa ni Wanamajumui halisi wa Afrika. Kwa hiyo historia inaibeba Tanzania, kuliko nchi yoyote ya Afrika.

Tatu, Tanzania ina usalama wa kutosha na amani yakweli kuliko nchi yoyote Afrika.
 
Tanzania ni kisiwa Cha amani
200 (8).gif
 
Ukali na upiganaji wa Waethopia ndio uliowafanya wasitawaliwe na Wakoloni weupe

Sisi hapa tumejawa na uoga na unafiki ndio maana tulichukuliwa utumwa kwa kuuzana wenyewe kwa wenyewe.

Nje ya mada alakini ukweli ni mchungu.
 
Naunga mkono hoja. Kwanza, Tanzania ina historia ya ukombozi wa Afrika kwa kazi kubwa iliyofanywa na Mwalimu Nyerere, ndiyo maana pale Addis HQ ya AU, kuna sanamu ya Mwalimu kutambua mchango wake wa ukombozi, umoja wa Afrika na kutetea wanyonge.

Pili, Tanzania chini ya Mwalimu ni sehemu ya historia ya chimbuko la OAU na baadae AU. Huwezi kuzungumzia AU na kumuacha Mwalimu, Nkrumah. Hawa ni Wanamajumui halisi wa Afrika. Kwa hiyo historia inaibeba Tanzania, kuliko nchi yoyote ya Afrika.

Tatu, Tanzania ina usalama wa kutosha na amani yakweli kuliko nchi yoyote Afrika.
😍😍
 
Kwa nini Sio Kenya au Rwanda?
Ni kweli na wakihamia Dodoma pako poa sana.hawatosumbuliwa .
Kwanza Amani,
Pili inafikika kirahisi.
Tatu nchi ina jitisheleza kwa mahitaji yote.
 
Kufuatia mapigano ya Tigray ya TPLF na vikosi vya serikali kuelekea kuwa vita ya wenyewe kwa wenyewe wakati wowote kuanzia sasa, namshauri Rais Mstaafu Gen. Obasanjo ambaye ni mpatanishi wa mgogoro huo aishauri AU ihamishie Makao Makuu yake Tanzania kwa muda hadi pale amani itakaporejeshwa.
Tanzania Kuna ugaidi
 
Kwa nini Tanzania na siyo Kenya iliyo karibu na Ethiopia? Hebu eleza kwa kina kwa nini unaipendekeza Tanzania, au kwa vile wewe ni mkazi wa Tanzania hivyo unatumia ule msemo wa mwamba ngoma?
Kenya alshabab wanawasumbua Hadi leo,hakuna amani ya uhakika.kwanza Kenya wanahistoria mbaya ya mauaji ya wao kwa wao,enz zile za uchaguzi.walishwahi kuzitwanga bungeni Mara kadhaa. AU ni lazma ikae mahali pa utulivu wa uhakika!
 
Kwa nini Tanzania na siyo Kenya iliyo karibu na Ethiopia? Hebu eleza kwa kina kwa nini unaipendekeza Tanzania, au kwa vile wewe ni mkazi wa Tanzania hivyo unatumia ule msemo wa mwamba ngoma?
kenya yenyewe ni spana mkononi, wameshindwa kuwalinda raia zao pia
 
Haaaa sijawahi ona inakuwaje ;):);)
Vita ya wenyewe kwa wenyewe ilisababisha WHO mwaka 1997 kuhamishia kwa muda Makao yake Makuu ya Kanda ya Afrika toka Brazzaville Congo kwenda Harare Zimbabwe hadi mwaka 2001 iliporudi Brazzaville kwa awamu awamu.

Kufuatia vita ya wenyewe kwa wenyewe Somalia mwaka 2009 hadi sasa, UN tawi la Somalia ilihamishia kwa muda shughuli zake Jijini Nairobi hadi leo.

UN Yemen imehamia kwa muda Jordan.

Nazishauri ofisi ya Kanda ya Afrika ya UNICEF na Makao Makuu ya UNHABITAT duniani (iliyokuwa ya Mama Tibaijuka) zilizoko Kenya zihamie Tz kwa muda endapo Kenya itarudi kwenye machafuko ya uchaguzi 2022 kama yale ya 2008.


Ruto anatafuta roho ya Uhuru kwa njia ya assassination kabla ya uchaguzi 2022 (baada ya kuamini hashindi kwa kura) ili aapishwe kama Rais (Katiba yao inasema Rais akifa madarakani Makamu wake anaapishwa kuwa Rais kamili). Kuna tuhuma ambazo upelelezi wake wa awali unamhusisha Ruto na kambi yake kumtegeshea Uhuru bomu kwenye ndege iliyokuwa imfuate toka latest ziara ya Kisumu. Raila kwa kutumia ujasusi wake alipata siri hiyo akamshauri Uhuru kutopanda ndege hiyo, na kumwambia ukitaka kujuwa ndege ina bomu kubali ije Kisumu alafu ikiishatua ikaguliwe kwanza, Uhuru akakubali ushauri, ndege ikatumwa Kisumu, ilipofika ikakaguliwa na bomu kupatikana na walipobanwa na dola wakakiri walitumwa na Ruto.

Raila ana uzoefu wa mitego kama hii, inaaminika ni Mwanasiasa pekee Afrika kama siyo duniani ambaye ameishakwepa mitego ya assassinations takriban tano (sumu x3 (sumu moja ilimpata lakini hakufa kwenye awamu hii ya Uhuru), ajali za barabarani na angani), ameishajaribiwa kwenye awamu zote za: Jomo Kenyatta kabla ya kutupwa Kamiti, awamu ya Moi (wakati wa vuguvugu la MWAKENYA) na pia wakati wa Kampeni za Kibaki kwy ajali ya Chopper North Eastern ambapo Raila alipona kimiujiza (wakati huo Kibaki akiwa kwenye utalii wa kimatibabu/Medical Tourism London) na pia sumu wakati Kibaki akiwa tayari Ikulu. Kikosi cha ujasusi cha Raila kina makali ya kustaajabisha.

Ombea AU ihamie Tz, Makao Makuu ya jumuiya za kimataifa yakihamia kwenye nchi ni dili kubwa sana la kiuchumi.
 
Kuna school of thought kwamba SSH hajachaguliwa kwa kura kama Rais (bali kama mgombea mwenza) basi kumbe atachaguliwa kwa kura kama Rais 2025 - 2030 ambayo hii kumbe itakuwa ndiyo awamu yake ya kwanza na hivyo kustahili kuchaguliwa tena kwa kura kama Rais kwa awamu yake ya pili 2030 - 2035.

Pia kuna school of thought inayoshinikiza kwamba SSH anafikia mwisho 2030.

NB.
Sasa hapo kuna mgogoro wa tafsiri ya Katiba ya 1977.

Cecilia, japokuwa umenipa swali la mtego lakini nakuhakikishia kwamba katika safu hiyo ya ma-KMs hao, you will be amazed kuhakikishiwa kwamba hakuna hata mmoja.

Kuna huyu Brig. Gen. Wilbert A. Ibuge (japo hawezi kupewa) ila ninamwona kama anatosha na ni mtu makini sana, ana sifa za msingi zifuatazo:-
1. Amemaliza kozi zote za TMA na NDC.
2. Ana ithibati ya Jeshi (Army/Military Accreditation).
3. Ameishakuwa popularized kimataifa kwa nafasi yake ya KM wa Wizara ya MOFA.

Aidha, namshukuru MUNGU kwamba SSH alikuwa tayari kumrithi JPM, kama hasingekuwa tayari kuapishwa kuwa Rais, pasingetosha kwa jinsi ambavyo madalali wangeumana kupachika wateja wao.
 
Back
Top Bottom