Umoja Party kikiachana na tabia za upinzani wa sasa kitakuwa chama mbadala

Muda mrefu hofu ya watanzania ni nani mbadala wa CCM kama CCM ikiondolewa?

Tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi niseme kweli nchi yetu bado haijashuhudia chama cha kuiondoa CCM hata kama CCM imechokwa sana bado wanaliona tumaini ndani ya CCM kuliko nje.

Kuna tabia fulani fulani zilizokuwa zinasababisha upinzania kudumaa na kushindwa kusonga mbele nazo zilipelekea kifo chao. Tabia hizo ni pamoja na:

i) Kuonesha kushindwa kwa CCM huku nao wameshindwa kuonesha umuhimu wao. Hili lilikuwa ni kosa kubwa

ii) Kutokuwa na agenda za kusimamia badala yake ikawa inasimamia madhaifu ya CCM na madhaifu hayo yaliporekebishwa ikapelekea kufeli kwao.

iii) Kushindwa kushirikiana na CCM hata kwa mazuri yanayoonekana na badala yake wakawa wanatafuta mabaya katika mazuri

iv) Hamu ya Upinzani kuingia ikulu kuliko kujiimarisha na kuaminisha watanzania wana uwezo wa kuwatumikia.

Naamini kama Umoja Party wakirekebisha madhaifu hayo na mengine watafika mbali kama mbadala wa CCM.
Kweli kabisa. Waache tabia za upinzani. Wawe kama TLP, UDP, nk hapo watachukua dola.
 
Upinzani watafanya siasa ikiwa uwanja sio sawa? Mmeshuhudia Mara ngapi upinzani wanazuiwa kufanya shughuli zao, kizuiwa kufanya mikutano miaka sita sasa na kufanyiwa zengwe kwenye uchaguzi. Hadi Viongozi kushambuliwa na kufunguliwa kesi za uongo.

Hicho chama kipya kitafanya muujiza gani?. Naona tunaongea unafiki ili to kuzima chama kikuu Cha upinzani, lakini mjue upinzani sio lelemama.
Afrika upinzani hawapati madaraka kistaarabu lazima upambane kama hutaki mishikeshike badalisha fani.
 
Wewe ni mpumbavu na dunia inajua kuwa ccm hutumia mabavu kama una akili timamu huwezi andika huu utopolo.
Muda mrefu hofu ya watanzania ni nani mbadala wa CCM kama CCM ikiondolewa?

Tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi niseme kweli nchi yetu bado haijashuhudia chama cha kuiondoa CCM hata kama CCM imechokwa sana bado wanaliona tumaini ndani ya CCM kuliko nje.

Kuna tabia fulani fulani zilizokuwa zinasababisha upinzania kudumaa na kushindwa kusonga mbele nazo zilipelekea kifo chao. Tabia hizo ni pamoja na:

i) Kuonesha kushindwa kwa CCM huku nao wameshindwa kuonesha umuhimu wao. Hili lilikuwa ni kosa kubwa

ii) Kutokuwa na agenda za kusimamia badala yake ikawa inasimamia madhaifu ya CCM na madhaifu hayo yaliporekebishwa ikapelekea kufeli kwao.

iii) Kushindwa kushirikiana na CCM hata kwa mazuri yanayoonekana na badala yake wakawa wanatafuta mabaya katika mazuri

iv) Hamu ya Upinzani kuingia ikulu kuliko kujiimarisha na kuaminisha watanzania wana uwezo wa kuwatumikia.

Naamini kama Umoja Party wakirekebisha madhaifu hayo na mengine watafika mbali kama mbadala wa CCM.
 
Hiki ni chama chetu ambacho kimeundwa nasi wafuasi wa JPM.....
Tunapata wengi kutoka kanda ya Ziwa

Mnaleta ukabila Tanzania. Mambo ya ukabila peleka Kenya. Kanda ya ziwa ninvyama viwili tu CCM na CHADEMA. Jaribu kujifunza kutoka kwa Zitto Kabwe alisema 2015 hakuna chama kitashinda ubunge mkoa wa Kigoma, lakini mwisho wa siku alipata Jimbo moja tu la Kigoma Mjini.
 
Afrika upinzani hawapati madaraka kistaarabu lazima upambane kama hutaki mishikeshike badalisha fani.

Hakuna kitu Kama hicho Africa Ni uroho wa madaraka wa wachache. Sio kweli mbona Kuna nchi zinabadilisha uongozi Bila mapambano?. Kuna Ghana, Zambia, Malawi, cape Verde, Nigeria etc.

Kwanini Tanzania tuchague mapambano ndio tubadilishe uongozi?. Halafu anayepambana na Wenzake ni mwenye madaraka yani waliopo madarakani ndio wanapambana kwa kutumia dola dhidi ya waliopo nje ya madaraka.
 
Mnaleta ukabila Tanzania. Mambo ya ukabila peleka Kenya. Kanda ya ziwa ninvyama viwili tu CCM na CHADEMA. Jaribu kujifunza kutoka kwa Zitto Kabwe alisema 2015 hakuna chama kitashinda ubunge mkoa wa Kigoma, lakini mwisho wa siku alipata Jimbo moja tu la Kigoma Mjini.
Tulia na usome kwa makini!
Sisi tutatumia nembo ya JPM
 
Mleta mada na wewe unaamini eti au umoja ni wapinzani wa CCM, basi utakuwa mgeni kwenye siasa za Tanzania.
 
Muda mrefu hofu ya watanzania ni nani mbadala wa CCM kama CCM ikiondolewa?

Tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi niseme kweli nchi yetu bado haijashuhudia chama cha kuiondoa CCM hata kama CCM imechokwa sana bado wanaliona tumaini ndani ya CCM kuliko nje.

Kuna tabia fulani fulani zilizokuwa zinasababisha upinzania kudumaa na kushindwa kusonga mbele nazo zilipelekea kifo chao. Tabia hizo ni pamoja na:

i) Kuonesha kushindwa kwa CCM huku nao wameshindwa kuonesha umuhimu wao. Hili lilikuwa ni kosa kubwa

ii) Kutokuwa na agenda za kusimamia badala yake ikawa inasimamia madhaifu ya CCM na madhaifu hayo yaliporekebishwa ikapelekea kufeli kwao.

iii) Kushindwa kushirikiana na CCM hata kwa mazuri yanayoonekana na badala yake wakawa wanatafuta mabaya katika mazuri

iv) Hamu ya Upinzani kuingia ikulu kuliko kujiimarisha na kuaminisha watanzania wana uwezo wa kuwatumikia.

Naamini kama Umoja Party wakirekebisha madhaifu hayo na mengine watafika mbali kama mbadala wa CCM.
Chama cha wasukuma hiki.
 
Hakuna kitu Kama hicho Africa Ni uroho wa madaraka wa wachache. Sio kweli mbona Kuna nchi zinabadilisha uongozi Bila mapambano?. Kuna Ghana, Zambia, Malawi, cape Verde, Nigeria etc.

Kwanini Tanzania tuchague mapambano ndio tubadilishe uongozi?. Halafu anayepambana na Wenzake ni mwenye madaraka yani waliopo madarakani ndio wanapambana kwa kutumia dola dhidi ya waliopo nje ya madaraka.
Sawa subiri ukabidhiwe madaraka na CCM kupitia kura.
 
Back
Top Bottom