abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,292
Aise nilisema muda kuwa naachana na siasa ila mimi kama Mzalendo nimeona nchi yangu inapoelekea siwezi kukaa kimia maana sitaki kukosa majibu nitakayoulizwa na wajukuu zangu kwanini nilikua kijana nikaruhusu walafi waaribu nchi yetu siwezi kukubali ichi kitu
Pia nimepata nguvu ya kurudi kundini kwa sababu hakuna hata mmoja nilie muambia kuhusu Umoja part akashindwa kukubali kila mmoja anauliza anajiunga vip yan katika kazi zitakua rais kwenye uchaguz wa nchi hii ni kuitoa CCM madarakani iwe kwa kutangazwa au mwa Maandamano mana tutaandamana kama tulivyoenda kumzika mzee wetu Magufuli Dunia itashangaa time will tell
Pia napenda kuwaambia watanzania wote wazalendo kua muda wetu ni huu sasa chama chetu cha Umoja part kitakapo tangazwa rasmi tunaomba msisite kunitokeza kwa wingi vijana kwa wazee hii nchi tusipo igomboa itatuharibikia mikononi kwetu kisa matumbo ya wazee wachache walafi wa mali
Pia nimepata nguvu ya kurudi kundini kwa sababu hakuna hata mmoja nilie muambia kuhusu Umoja part akashindwa kukubali kila mmoja anauliza anajiunga vip yan katika kazi zitakua rais kwenye uchaguz wa nchi hii ni kuitoa CCM madarakani iwe kwa kutangazwa au mwa Maandamano mana tutaandamana kama tulivyoenda kumzika mzee wetu Magufuli Dunia itashangaa time will tell
Pia napenda kuwaambia watanzania wote wazalendo kua muda wetu ni huu sasa chama chetu cha Umoja part kitakapo tangazwa rasmi tunaomba msisite kunitokeza kwa wingi vijana kwa wazee hii nchi tusipo igomboa itatuharibikia mikononi kwetu kisa matumbo ya wazee wachache walafi wa mali