Umoja ni nguvu

mzungute

Member
Jun 4, 2013
6
3
Nadhani ndugu zangu tunajua kwamba bila umoja hakuna litakalowezekana katika haya maisha na sidhan kama nijambo la busara kufikiria kuvunja muungano wetu..Nadhani ndio sababu ya Muumba wa dunia hii kutuumba lasivyo angalimwacha Adamu pekeyake..jambo kuu nikuangalia maslah ya pande zote kihaki bila uonevu.Tanzania ni nzuri tena inapendeza sana.
 
Nadhani ndugu zangu tunajua kwamba bila umoja hakuna litakalowezekana katika haya maisha na sidhan kama nijambo la busara kufikiria kuvunja muungano wetu..Nadhani ndio sababu ya Muumba wa dunia hii kutuumba lasivyo angalimwacha Adamu pekeyake..jambo kuu nikuangalia maslah ya pande zote kihaki bila uonevu.Tanzania ni nzuri tena inapendeza sana.


ni kweli kabisa maana bila ushirikiano hatuwezi kufika
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom