Umoja mbinu tija wa nchi za Africa

Umkontho we Sizwe

JF-Expert Member
Dec 4, 2017
497
466
Africa lazima iungane Kwanza ndipo itachukua nafasi yake katika taswira ya maamuzi yanayoindesha dunia iliyodanganywa...toa maoni yako. Wanyama Wana akili Sana, binadamu ni mnyama... kinachomtenganisha na hayawani wengine ni maamuzi yake kukabilianana na mazingira na changamoto husika...kubali ama kataa kwa kutoa chanzo Cha hoja, tatizo na masuluhisho... Asante Sana ndugu karibuni
 
Africa lazima iungane Kwanza ndipo itachukua nafasi yake katika taswira ya maamuzi yanayoindesha dunia iliyodanganywa...toa maoni yako. Wanyama Wana akili Sana, binadamu ni mnyama... kinachomtenganisha na hayawani wengine ni maamuzi yake kukabilianana na mazingira na changamoto husika...kubali ama kataa kwa kutoa chanzo Cha hoja, tatizo na masuluhisho... Asante Sana ndugu karibuni
We support you Fantasia...keep on....
 
Back
Top Bottom