Mwananchi Huru
JF-Expert Member
- Nov 20, 2021
- 1,448
- 1,003
||Sitaki kutia neno, Msikilize hadi mwisho Waziri wa TAMISEMI Mhe Ummy Mwalimu,
Huyu mama nampenda sana aise,||Sitaki kutia neno, Msikilize hadi mwisho Waziri wa TAMISEMI Mhe Ummy Mwalimu...
Huyu mama nampenda sana aise,
Natamani siku moja awe juuu
Ipo siku atakuwa tu ni swala la mudaNdio level aliyoishia
Ipo siku atakuwa tu ni swala la mudaNdio level aliyoishia
Ipo siku atakuwa tu ni swala la muda
Anauwezi mkubwa sana huyu mama wa kisiasa,Tusubilii🙏
Kwani Ndalichako anasemaje ? Na RC wa Dom je?||Sitaki kutia neno, Msikilize hadi mwisho Waziri wa TAMISEMI Mhe Ummy Mwalimu,
||Sitaki kutia neno, Msikilize hadi mwisho Waziri wa TAMISEMI Mhe Ummy Mwalimu,
Wewe unaamini katika masomo ya ziada?Ukimsikiliza mwanasiasa ambaye mtoto wake anasoma internation school utajua hujui.
Unasoma shule ya kata isiyo na mwalimu wa physics wala hesabu then unakatazwa usiende masomo ya ziada
na unafuata pole.
Nilikuwa nikifunga shule miaka ya 90 sishiki Kitabu mpaka nirudi tena Secondary. Na bado nilipata Devision 1. Siku hizi wanatulazimisha Wazazi tukague Homework wakati tumetoka viti virefu...Wewe unaamini katika masomo ya ziada?
Kazi kwelikweli,Hata mimi siamini sana kwenye TuitionNilikuwa nikifunga shule miaka ya 90 sishiki Kitabu mpaka nirudi tena Secondary. Na bado nilipata Devision 1. Siku hizi wanatulazimisha Wazazi tukague Homework wakati tumetoka viti virefu...
Nilikuwa nikifunga shule miaka ya 90 sishiki Kitabu mpaka nirudi tena Secondary. Na bado nilipata Devision 1. Siku hizi wanatulazimisha Wazazi tukague Homework wakati tumetoka viti virefu...
Wangefanya kazi zao katika muda muafaka hayo masomo yasingehitajika ila sababu kazi hio haifanyiki unategemea nini ?Wewe unaamini katika masomo ya ziada?
Tungo tata
La nne la saba na kidato cha nne ni kisanga shule kuanzia mwezi wa kwanza mpaka mtihani wa mwisho.Namuunga mkono, watoto wa darasa la nne wanasoma utafikir wapo Harvard.
Kwani kuna nini?Huyu Ummy hajakutana na mkuu wa mkoa wa Dodoma Anthony Mtaka