Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,735
- 6,291
Waziri wa TAMISEMI, Ummy Mwalimu amesema wizara hiyo itanufaika na tozo za miamala ya simu kwa kujenga vyumba vya madarasa 10,000 na kukarabati shule kongwe za msingi 2,100. Ameeleza kuwa hadi sasa kuna uhaba wa madarasa 100,005 kwenye shule za msingi na sekondari nchini.
My Take:
Nakumbuka kuna Mdau mmoja humu alisema tatizo la Tozo lilianzia kwa Ummy Mwalimu.
Nadhani sasa picha inakuja kuwa ile pesa inatakiwa na Tamisemi.
Nadhani kwa sasa wanaotukamua kwenye huduma za mawasiliano ni Ummy+Mwigulu+Ndugulile ambao wanaomshawishi Mama Samia na yeye anawakubalia tu.
My Take:
Nakumbuka kuna Mdau mmoja humu alisema tatizo la Tozo lilianzia kwa Ummy Mwalimu.
Nadhani sasa picha inakuja kuwa ile pesa inatakiwa na Tamisemi.
Nadhani kwa sasa wanaotukamua kwenye huduma za mawasiliano ni Ummy+Mwigulu+Ndugulile ambao wanaomshawishi Mama Samia na yeye anawakubalia tu.