beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Waziri wa Afya wa Tanzania, Ummy Mwalimu amesema watoa huduma wa sekta ya afya hawatakiwi kuwakimbia wagonjwa na badala yake, wanatakiwa kuzingatia Kanuni za Udhibiti wa Maambukizi katika kutoa Huduma (IPC).
Ummy amesema sio kila homa kali au kikohozi ni CoronaVirus hivyo watoa huduma hawatakiwi kuwakimbia wagonjwa kwasababu kuna magonjwa mengine kama Kisukari, Moyo, HIV na TB.
Pia, Waziri huyo amewataka kuendelea kuwa makini kwa kuchukua tahadhari mbalimbali ikiwemo kunawa mikono pale wanapotoa huduma.
Msikilize akizungumza hapa:
Ummy amesema sio kila homa kali au kikohozi ni CoronaVirus hivyo watoa huduma hawatakiwi kuwakimbia wagonjwa kwasababu kuna magonjwa mengine kama Kisukari, Moyo, HIV na TB.
Pia, Waziri huyo amewataka kuendelea kuwa makini kwa kuchukua tahadhari mbalimbali ikiwemo kunawa mikono pale wanapotoa huduma.
Msikilize akizungumza hapa: