Ila anapaswa kurisk Maisha yake (kwa sababu ya uzembe wa Boss wake ambaye hajampatia vifaa husika) ? Hawa nao wana familia na wanatamani kuishi.Kiswahili ni kigumu. Sasa kama ni corona wanaruhusiwa kukimbiwa? Hata kama ni corona, mtumishi wa afya hatakiwi kumkimbia mgonjwa.