beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Waziri wa TAMISEMI, Ummy Mwalimu amesema ni marufuku Shule kudai Certificate (Cheti) ya Awali kwa Wanafunzi wanaoanza Darasa la Kwanza
Akiwa Bungeni Dodoma leo Mei 03, 2021 amesema "Bado hatujafanya vizuri katika kuongeza 'access' ya Watoto kuanza Elimu ya Awali kwahiyo haileti mantiki kusema kila Mtoto aanze Darasa la Kwanza awe na Certificate ya Awali"
Amesema wanaodai Certificate ya Elimu ya Awali wanaenda kinyume na maelekezo na miongozo ya Serikali.
Akiwa Bungeni Dodoma leo Mei 03, 2021 amesema "Bado hatujafanya vizuri katika kuongeza 'access' ya Watoto kuanza Elimu ya Awali kwahiyo haileti mantiki kusema kila Mtoto aanze Darasa la Kwanza awe na Certificate ya Awali"
Amesema wanaodai Certificate ya Elimu ya Awali wanaenda kinyume na maelekezo na miongozo ya Serikali.