Wanajamvi, sina nia ya kuichafua wala kuishutumu Serikali kwa hatua mbalimbali wanazochukua kwa ajili ya kujikinga na maradhi ya Covid-19. Lakini hapa serikali ilipofikia naona imeamua kwa makusudi kuua wananchi kwa maamuzi ya kukurupuka hasa kwa kuwahamisha watu waliojitenga mahotelini na kuwaweka sehemu moja kwenye hosteli almaarufu za Magufuli.
Kuwapeleka wasafiri hosteli za Magufuli mliangalia kigezo gani je mmewahukumu wasafiri wote ni wagonjwa? Ukitazama kunamapungufu makubwa kwenye hostel zenyewe kama vyoo watu wanachangia inamaana wizara haijui kuna uwezekano mkubwa wa ugonjwa kusambaa? Kama mtu kabakiza siku tatu, mbili moja je kulikuwa na haja gani kumuhamisha mtu usiku kwa usiku kwenda hostel za Magufuli?
Mtu alipofika alichagua hoteli ya kukaa kwa gharama anyoona yeye inamfaa baada ya kuchagua kuna maana gani ya kumuhamisha mtu kijihadi na kumpeleka maeneo hatarishi zaidi?
Kama nia ni kuwaweka watu sehemu ili kuwapunguzia gharama na kuwamonitor kwa hili mawaziri na kamati zenu mmekosea sana kwa kiwango cha lami kwani hamkuangalia mazingira na risk itakayokuja kutokeza huko mbeleni. Je wasafiri waote mmewapima ili kujiridhisha na usalama wao?
Ni kwanini muwapeke watu hosteli za magufuli bila kujua kwanza kama ni wazima au la? Maana tangu watu wafike wanapimwa joto je mtu akiwa na COVID-19 na kafika jana na akafanya kuzambaza ni sekunde tu hosteli zoote ni kilio na kusaga meno hivi hamuoni ni risk ni kubwa kuliko hapo walipokuwa awali?
Sasa mtu anamaliza leo mnatarajia kumpa cheti leo je kama huko kooote amekaa bila kuupata ugonjwa na kafika leo na kaupata na mnampa cheti kwa kuhitimu kukaa isolation place for 14 days na akatoka nao hamuoni kama mnaongeza ujasiri wa kusambaza ungonjwa kwa haraka zaidi kuwa na cheti maalumu cha kuzambaza ugonjwa?
Kibaya zaidi watumishi wa ustawi wa jamii waliochaguliwa kusimamia hili zoezi wamekuwa na kauli mbaya na kejeli hv hamjui hawa mnaowakejeli wanaweza kuwa salama na ninyi mkawa ni hatarishi kwa maisha yao? Kwa upande mwingine mnaowaweka na kuwatamkia maneno machafu ni watumishi wenzenu wa serikali? Kama mtampa cheti maalumu za kukaa karantini hamuoni ni tiketi ya kuja kuusambaza nanyinyi mkaupata?
Makonda nawewe ulikuwepo; kama ulihusishwa au haukuhusishwa hili suala lipo mikononi mwako na hawa wananchi mnawaweka hapa wapo wa mataifa mbalimbali hivi hamuoni kama mnalichafua taifa kwa kufanya maamuzi yasiyokuwa na tija bali ni kutafuta sifa za kiutendaji?
Kuwapeleka wasafiri hosteli za Magufuli mliangalia kigezo gani je mmewahukumu wasafiri wote ni wagonjwa? Ukitazama kunamapungufu makubwa kwenye hostel zenyewe kama vyoo watu wanachangia inamaana wizara haijui kuna uwezekano mkubwa wa ugonjwa kusambaa? Kama mtu kabakiza siku tatu, mbili moja je kulikuwa na haja gani kumuhamisha mtu usiku kwa usiku kwenda hostel za Magufuli?
Mtu alipofika alichagua hoteli ya kukaa kwa gharama anyoona yeye inamfaa baada ya kuchagua kuna maana gani ya kumuhamisha mtu kijihadi na kumpeleka maeneo hatarishi zaidi?
Kama nia ni kuwaweka watu sehemu ili kuwapunguzia gharama na kuwamonitor kwa hili mawaziri na kamati zenu mmekosea sana kwa kiwango cha lami kwani hamkuangalia mazingira na risk itakayokuja kutokeza huko mbeleni. Je wasafiri waote mmewapima ili kujiridhisha na usalama wao?
Ni kwanini muwapeke watu hosteli za magufuli bila kujua kwanza kama ni wazima au la? Maana tangu watu wafike wanapimwa joto je mtu akiwa na COVID-19 na kafika jana na akafanya kuzambaza ni sekunde tu hosteli zoote ni kilio na kusaga meno hivi hamuoni ni risk ni kubwa kuliko hapo walipokuwa awali?
Sasa mtu anamaliza leo mnatarajia kumpa cheti leo je kama huko kooote amekaa bila kuupata ugonjwa na kafika leo na kaupata na mnampa cheti kwa kuhitimu kukaa isolation place for 14 days na akatoka nao hamuoni kama mnaongeza ujasiri wa kusambaza ungonjwa kwa haraka zaidi kuwa na cheti maalumu cha kuzambaza ugonjwa?
Kibaya zaidi watumishi wa ustawi wa jamii waliochaguliwa kusimamia hili zoezi wamekuwa na kauli mbaya na kejeli hv hamjui hawa mnaowakejeli wanaweza kuwa salama na ninyi mkawa ni hatarishi kwa maisha yao? Kwa upande mwingine mnaowaweka na kuwatamkia maneno machafu ni watumishi wenzenu wa serikali? Kama mtampa cheti maalumu za kukaa karantini hamuoni ni tiketi ya kuja kuusambaza nanyinyi mkaupata?
Makonda nawewe ulikuwepo; kama ulihusishwa au haukuhusishwa hili suala lipo mikononi mwako na hawa wananchi mnawaweka hapa wapo wa mataifa mbalimbali hivi hamuoni kama mnalichafua taifa kwa kufanya maamuzi yasiyokuwa na tija bali ni kutafuta sifa za kiutendaji?