Ummy Mwalimu: Kuanzia sasa Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Wakurugenzi hakuna kusafiri nje ya mkoa bila kibali

Waziri wa Tamisemi Ummy Mwalimu ametangaza kuwa kuanzia sasa ni marufuku kwa mkuu wa mkoa ,wilaya au mkurugenzi yoyote kusafiri nje ya mkoa wake bila kibali cha rais, makamu wa rais au waziri mkuu.

Ummy amesema serikali inataka kuona viongozi hao wanabaki kwenye maeneo yao ya kazi ili waweze kusimamia vyema miradi itakayojengwa kutokana na fedha zilizotolewa na IMF kwa ajili ya kupambana na ugonjwa wa Corona nchini kiasi cha trilioni 1.3.


hata kama amefiwa wazazi wake na inatakiwa awahi mazishi?
 
Back
Top Bottom