jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 5,690
- 7,556
Na huu mfumo mbovu naamini kabisa kuna kundi la watu flani wanafaidika nao, ndiyo maana wanakwamisha mabadiliko katika mfumo huo!!Tuna mfumo mbovu sn ndiyo maana hatuna maendeleo
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app