Ummy Mwalimu, karibu tena Sekta ya Afya. Ukifika Bohari ya Dawa MSD tupia jicho pia kwenye haya...

Waziri huwa ni bosi wa wizara na ni sehemu ya think tank ya wizara, Wizara ina organs zake ambazo zinawatu waliosoma na wameajiriwa kwa kila kazi ili kwa pamoja kumsaidia waziri kwenda mbele... Maamuzi haya inamaanisha watu wote wamefikiri na kufikia mwisho na kutoa hayo maamuzi...

Hayo ni maamuzi ya Kijinga na sio mzizi wa hilo Tatizo...wafikiri upya kupata majibu sahihi ya tatizo...ili utatue tatizo lazima uende kwenye mzee baada ya research ya uhakika na data za uhakika..
 
4. Huyu afande amekuwa na tabia ya kuwahamishahamisha watumishi aliowakuta kwa kutumia uchochoro wa Management ya Utumishi wa Umma na kuwaweka watu wake kienyeji ambao wameshindwa kuleta tija kwa shirika, wamekuwa hawacope na shughuli ya taasisi.

My Take: unalalamika kwa kuwa kapunguza urefu wa kamba kwa kile mkichokuwa mnaiba. Nyie ndio mliiaibisha sana hii taasisi kwa ufisadi uliokithiri. Acha mnyooshwe kwanza.
 
Kama hujui sababu usiseme tu kisa Makambako ni Tanzania, ni sawa na wale wanaotetea Uwanja wa ndege wa Chato kisa tu Chato ni Tanzania.
FB_IMG_16432608623355916.jpg
FB_IMG_16432604184412092.jpg
FB_IMG_16432604481433977.jpg
FB_IMG_16432604042183307.jpg
FB_IMG_16432604077133288.jpg

Sababu za kujengwa hichi kiwanda idofi makambako sababu zilisha take pia sababu nyingine Ni kuwa jilana na soko lao wanalo Target kuziuzia dawa nchi za SADC na kwa nyanda za juu kusini makambako ndo katikati hawajawekeza kiwanda hicho tu ku eneo limelipwa kwaajili ya ujenzi wa soko la kimataifa nalo likilenga nchi za SADC ko nao msd lazima waangalie soko liko wapi wanalo lilenga na Hadi Sasa wameongeza eneo zaidi kwa kulipa fidia wana ekari 30 na point ko mtoa post fanya utafiti kidogo na ujenz bado unaendelea
 
View attachment 2099675View attachment 2099677View attachment 2099679View attachment 2099680View attachment 2099681
Sababu za kujengwa hichi kiwanda idofi makambako sababu zilisha take pia sababu nyingine Ni kuwa jilana na soko lao wanalo Target kuziuzia dawa nchi za SADC na kwa nyanda za juu kusini makambako ndo katikati hawajawekeza kiwanda hicho tu ku eneo limelipwa kwaajili ya ujenzi wa soko la kimataifa nalo likilenga nchi za SADC ko nao msd lazima waangalie soko liko wapi wanalo lilenga na Hadi Sasa wameongeza eneo zaidi kwa kulipa fidia wana ekari 30 na point ko mtoa post fanya utafiti kidogo na ujenz bado unaendelea
Mkuu hivi ni biashara gani iliwahi kufanya na Serikali hapa nchini ikawa na faida?
 
View attachment 2099675View attachment 2099677View attachment 2099679View attachment 2099680View attachment 2099681
Sababu za kujengwa hichi kiwanda idofi makambako sababu zilisha take pia sababu nyingine Ni kuwa jilana na soko lao wanalo Target kuziuzia dawa nchi za SADC na kwa nyanda za juu kusini makambako ndo katikati hawajawekeza kiwanda hicho tu ku eneo limelipwa kwaajili ya ujenzi wa soko la kimataifa nalo likilenga nchi za SADC ko nao msd lazima waangalie soko liko wapi wanalo lilenga na Hadi Sasa wameongeza eneo zaidi kwa kulipa fidia wana ekari 30 na point ko mtoa post fanya utafiti kidogo na ujenz bado unaendelea
Huu ni uchuro tu unaofanyika hapo Makambako. Kwa nini hiyo factory kisingejengwa kwenye kiwanja mlichopewa na Waziri William Lukuvi. Kiwanja cha Kibaha ndiyo logistically Kiko pazuri na commercially pia. Hivi haya yanayofanyika yako supported na Feasibility study report kweli?

Nahofu hii itakuwa na mbuga ya Chato Burigi
 
View attachment 2099675View attachment 2099677View attachment 2099679View attachment 2099680View attachment 2099681
Sababu za kujengwa hichi kiwanda idofi makambako sababu zilisha take pia sababu nyingine Ni kuwa jilana na soko lao wanalo Target kuziuzia dawa nchi za SADC na kwa nyanda za juu kusini makambako ndo katikati hawajawekeza kiwanda hicho tu ku eneo limelipwa kwaajili ya ujenzi wa soko la kimataifa nalo likilenga nchi za SADC ko nao msd lazima waangalie soko liko wapi wanalo lilenga na Hadi Sasa wameongeza eneo zaidi kwa kulipa fidia wana ekari 30 na point ko mtoa post fanya utafiti kidogo na ujenz bado unaendelea
Kwani maeneo mengine ya Tanzania sio sehemu ya SADC?? why Njombe tu? mbona MSD ina maeneo na makubwa tu ambayo hayakutakiwa kulipiwa chochote badala ya kulipa fidia! hayo ni matumizi mabaya ya fedha za Watanzania.

MSD ina maeneo makubwa sehem u za Mwanza, Manyara, Mbeya n.k. Kama ni issue ya baridi basi kingejengwa Arusha au hata Mbeya ambako tayali Ardhi ya MSD ipo badala ya kuingia gharama za compensation!

Halafu hivi kuna Valuation report yoyote ya kitaalamu iliyofanyika kabla ya kulipa hiyo compensation ili kuona kama kuna value for money!

Pamoja na kwamba suala la viwanda sio core activity ya MSD, lakini kingeweza kujengwa eneo lolote lile la TZ given the improved road inftustructure we have currently na sio Iringa!
 
Kwani maeneo mengine ya Tanzania sio sehemu ya SADC?? why Njombe tu? mbona MSD ina maeneo na makubwa tu ambayo hayakutakiwa kulipiwa chochote badala ya kulipa fidia! hayo ni matumizi mabaya ya fedha za Watanzania.

MSD ina maeneo makubwa sehem u za Mwanza, Manyara, Mbeya n.k. Kama ni issue ya baridi basi kingejengwa Arusha au hata Mbeya ambako tayali Ardhi ya MSD ipo badala ya kuingia gharama za compensation!

Halafu hivi kuna Valuation report yoyote ya kitaalamu iliyofanyika kabla ya kulipa hiyo compensation ili kuona kama kuna value for money!

Pamoja na kwamba suala la viwanda sio core activity ya MSD, lakini kingeweza kujengwa eneo lolote lile la TZ given the improved road inftustructure we have currently na sio Iringa!
FB_IMG_16446350767993522.jpg

Jambo hili lisikutese kichwa kumbuka pia Ni ahadi ya chama na soon kinazinduliwa na suala la barabara kipo jilan kabisa na tazam high way ambayo Ina link na nchi za SADC
 
Ndugu Mh. Waziri Ummy - Waziri wa Afya, kwanza kabisa tunakupongeza sana kwa kuaminiwa tena na Mh. Rais Samia kwa kuiongoza tena Wizara ya Afya - karibu sana.

Nakumbuka mara bada tu ya kuapishwa na Mh. Rais kuingoza wizara yetu hii, ulihojiwa na waandishi wa habari na ukaahidi kuitembelea mara moja MSD kutokana na kukithiri kwa uhaba wa dawa, vifaa tiba na vitendanishi vya maabara.

Ndugu Mh. Waziri tunashukuru sana kwa uamuzi wako huo wa kuitembelea MSD pamoja na kwamba tunakupa tahadhari kwamba safari zako za kuja hapa MSD zisijekuwa kama za Dr. Dorothy Gwajima ambazo hazikuzaa matunda yoyote pamoja na kwamba ni waziri pekee aliyeitembelea sana MSD ktk historia yake zisizokuwa na tija - nafikili alikuwa anaogopa magwanda ya afande kuchukua hatua.

Ndugu Mh. Waziri Ummy, ukifika MSD tunaomba pia jikitekwenye masuala yafuatayo;

1. Ununuzi wa dawa kutofuata taratibu za manunuzi.

2. Pamoja na kwamba Serikali ya Samia imeleta hela nyingi sana hapa MSD lakini bado uhaba wa dawa ni wa kukithiri.

3. Kwanini hela zinazoletwa kwaajili ya ununuzi wa dawa zinapelekwa kwenye ujenzi wa viwanda? kumbuka hii ni sababu mojawapo iliyochangia kuwa na uhaba wa dawa.

4. Huyu afande amekuwa na tabia ya kuwahamishahamisha watumishi aliowakuta kwa kutumia uchochoro wa Management ya Utumishi wa Umma na kuwaweka watu wake kienyeji ambao wameshindwa kuleta tija kwa shirika, wamekuwa hawacope na shughuli ya taasisi.

5. Kuna watumishi amewatoa ambao walikuwa ni potential kubwa kwa taasisi. Kumbuka siku zote uharibifu wa hii taasisi yetu ya MSD inatokana na management kwa maana ya Wakurugenzi na sio watumishi wa chini, maamuzi ya hovyo ya mgt ndio imekuwa chanzo cha kudorora kwa hii taasisi.

6. Single source procument procurement ya dawa anayoitumia huyu afande imekuwa ikiigharimu sana hii taasisi ikiwa ni pamoja na washitiri kukimbia na pesa ya MSD.

7. Ukifika hapa MSD hebu ulizia special audit iliyofanyika juzi - hii ripoti ni chafu mnoo imejaa madudu kibao

8. Ukifika hapa MSD hebu ulizia ukaguzi ukiofanywa na CAG hapa juzi, nayo ni chafu kabisa

9. Ukifika hapa MSD hebu ulizia kazi anayofanya Mkaguzi Mkuu wa Ndani ambae hajaweza kuyakagua manunuzi yaliyofanyika hapa MSD. Haijaikagua Idara ya Manunuzi kwa miaka 2 sasa mpaka ilipokuja special team kutoka nje. Huyu Mkaguzi Mkuu wa Ndani kashindwa kumsaidia afande na huyu amekuwa haisaidii hii taasisi hata kabla ya kuja afande, kazi yake kubwa imekuwa ni kupiga tu majungu.

9. Ukifika hapa MSD hebu ulizia kazi anayofanya Mwanasheria Mkuu wa taasisi. Huyu nae akiwa ndie mshuhudiaji wa mikataba inayoingiwa na washitiri ikiwa ni pamoja michakato yake amekuwa hamsaidii afande kwa mikataba tata inayoingiwa.

UANZISHWAJI WA KIWANDA HUKO IRINGA.

Pamoja na kwamba MSD imekuwa ikiji-promote sana kwamba imeanzisha kiwanda cha dawa, lakini wamekuwa wakihoji haya yafuatayo ambayo majibu yake hayajaweza kutolewa;

1. Ni Sheria ipi ya Bunge iliyoiongezea MSD jukumu la uzalishaji? kumbuka kwa sheria Na. 13 ya mwaka 1993 iliianzisha MSD kwa majukumu ya; kununua, kuhifadhi na kusambabaza vifaa tiba na vitendanishi vya maabara kwa nchi nzima.

2. Ni bajeti ipi ilipitishwa kujenga hicho kiwanda au zimetumika hela ambayo ilipelekwa MSD kwaajili kununulia dawa za mahospitali ambalo litakuwa ni kosa kubwa sana

3. Je Wizara ya Afya na Bodi ya Wadhamini ya MSD zilipitisha huo mpango wa kujenga kiwanda kwao afande Iringa au ilifanyika retrospective approval kwa badae ili kufunika kombe mwanaharamu apite?

4. Ni upembuzi yakinifu gani ukiofanyika kuanzisha kiwanda cha dawa Iringa na sio mahari pengine?

5. ROI - Return On Investment ya uzarishaji ifakuwa miaka mingapi?, je kuna ripoti ya kitaalamu kuhusu hizo?

6. Je continuity plan ya hivyo viwanda ikoje ili kutoingiliana na shughuli za kila siku za MSD?

7. Hapa juzi tumesikia badhi ya majengo yaliyojengwa kwenye hicho kiwanda yameanza kupasuka, inasemekana inatakiwa wazee wa eneo kilipo kiwanda eti walipwe ndo yataacha kupasuka wakati tatizo ni poor supervision ya kutumia Force Account.

Karibu sana hapa MSD Mh. Waziri.
Naona Majaliwa alipita humu humu kwenye thread hii.
 
Back
Top Bottom