peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,798
- 21,395
Mkuu,mbona unataka kushika nyati sehemu za Siri?Hawezi kumuondoa wa Tanga mjini kwa sababu alimbeba Oct 2020.
Mkuu,mbona unataka kushika nyati sehemu za Siri?Hawezi kumuondoa wa Tanga mjini kwa sababu alimbeba Oct 2020.
Ni kadaHuyu Mwakibibi lazima atakuwa mtu mjinga sana.
Hakusoma alama za nyakati hata baada ya Mama Samia kutoa onyo.
Tunamtumia barua ya pili ya kumfukuza kwenye idaraYule Mwakibibi ana kofia mbili. Hivyo ataendekea na kazi za Idara. Ndiyo maana jeuri imemjaa
Watu wengine hawajaelewa bado juu ya mabadiliko yaliyotokea.Ni kada
Tunamtumia barua ya pili ya kumfukuza kwenye idaraYule Mwakibibi ana kofia mbili. Hivyo ataendekea na kazi za Idara. Ndiyo maana jeuri imemjaa
Akigusa makada,2025 watamwaga mbogaWatu wengine hawajaelewa bado juu ya mabadiliko yaliyotokea.
Mama Samia alisema wazi kuwa hatavumilia ubabe serikalini.
Mueleze bwashee, naona hajui kama una Pii echi Dii ya unaah!!Hahahaaaa.... Unafiki ni somo bwashee!
Mkwe wa jafo huyo....jamaa hajamaliza kuoaJaffo ni mnenaji mzuri!
Ni kuwaondoa tu kwenye tume.Tunamtumia barua ya pili ya kumfukuza kwenye idara
Akigusa makada,2025 watamwaga mboga
Naona ummy sahv hacheki na mtuHuyu DED machachali mwenye kelele nyingi za kujifisia hatimae amesimamishwa kazi kwa kushindwa majukumu na ufisadi .
Mwakibinga ambaye alikuwa shabiki mkubwa wa jpm kiasi yeye na mkewe wote kupewa u-DED alijaa tuhumu za ufisadi na ulevi was madaraka huku akionekana kupambana zaidi na DC Gondwe muda wote
View attachment 1763510
Jaffa alileta za kujuanaAisee,
kumbeba wazir tamisemi anaweza kuwasimamisha kazi wakurugenz
Sikuwai kuskia jaffo akifanya hivi miaka yote alokaa tamisemi
Magu alikua anawaokotea wapi hawa watu?Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Ummy Mwalimu amewasimamisha kazi Wakurugenzi wawili.
Wa kwanza ni Nyangi Msemakweli wa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga. Huyu katumbuliwa kwa ubadhirifu wake na usimamizi mbovu wa miradi ya Maendeleo pia alikuwa hana maelewano na Madiwani.
Wa pili ni Lusubilo Mwakabibi, Mkurugenzi wa Manispaa ya temeke. Huyu yeye katumbuliwa kutokana na kuwa na mwenendo usiofaa na matumizi mabaya ya Madaraka.
Mwakabibi ametumbuliwa kutokana na watu kumlalamikia kwa mwenendo usiofaa na matumizi Mabaya ya Madaraka, Ubadhirifu, usimamizi mbovu wa miradi ya Maendeleo Katika Manispaa ya Temeke.
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Ummy Mwalimu amewataka Wakurugenzi wote Nchini kuzingatia Mipaka yao ya kazi.
Soma hizi:
1) Mkurugenzi wa Temeke, Mwakabibi awasweka ndani waandishi wa habari ili wasihudhurie kikao chake na wafanyabiashara
2) Wizara ya habari kuchunguza tukio la DED wa Temeke kuwaweka chini ya ulinzi waandishi kwa kufika kwenye kikao chake bila mwaliko
3) Wito: ITV isusie kutangaza taarifa zote za Manispaa ya Temeke mpaka pale DED Mwakabibi atakapotimuliwa
4) Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke aache kutisha na kufedhehesha Waandishi wa Habari
View attachment 1763482
View attachment 1763546
Madhara ya kuwekeza ktk nafasi za juu za uongozi mbele ya safari km sio kuwa alikua ananufaika na matokeo ya utendaji mbovu na udhukumati....staili hii yabuongozi ni mbaya kabisa. Tenda na ongoza kwa mujibu wa kanuni taratibu hata ukiwa na Malengo makubwa zaidi ya kiongozi, utendaji thabiti utakujenga na kulipa zaidiMbona jaffo alikua anawaogopa sana wakurugenz halafu ummy mwalimu anawatumbua vizuri tu?..
Huyu wa Temeke yupo miaka mingi, sema ni akili kidogo isiyoweza kujifunza.Magu alikua anawaokotea wapi hawa watu?
Safi Sana,Jaffa alileta za kujuana
Sasa ummy yeye hana
Kujuana
Ova
Mkuu ikifanikiwa hiyo itakuwa safi sana. Nina imani takukuru watakuwa fair katika kumpekua hilo jinga kubwa. Kumbe Kakonko huko alisababisha mwalimu Mkuu wa Sekondari kujiua. Alikula pesa ya ugenzi wa shule mwalimu alipoenda kuuliza pesa akamruka kimanga. Mwalimu wa watu akajiua.Tunamtumia barua ya pili ya kumfukuza kwenye idara
Tatizo sisi kuna ile kujuana/kulindanaSafi Sana,
Mawazili kumbe wana meno wakiamua.
Jafo aliizoea Sana ofisi.
Hao kufukuzwa haisaidiMkuu ikifanikiwa hiyo itakuwa safi sana. Nina imani takukuru watakuwa fair katika kumpekua hilo jinga kubwa. Kumbe Kakonko huko alisababisha mwalimu Mkuu wa Sekondari kujiua. Alikula pesa ya ugenzi wa shule mwalimu alipoenda kuuliza pesa akamruka kimanga. Mwalimu wa watu akajiua.