Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,000
- 9,862
Waziri wa Ofisi ya Rais, TAMISEMI Ummy Mwalimu amesema Mkurugenzi atakayefanya ubadhirifu kwa fedha ambazo serikali ilipokea na kutoa kwa ajili ya maendeleo ya taifa na kupambana #COVID19 hawatawahamisha vituo.
Amesema hawatakuwa na mchezo katika fedha hizi, mtu akivurunda atafikishwa katika Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) na kuchukuliwa hatua.
Mpango wa Maendeleo ya Taifa na Mapambano ya COVID-19 ulizinduliwa na Rais Samia Oktoba 9.
Amesema hawatakuwa na mchezo katika fedha hizi, mtu akivurunda atafikishwa katika Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) na kuchukuliwa hatua.
Mpango wa Maendeleo ya Taifa na Mapambano ya COVID-19 ulizinduliwa na Rais Samia Oktoba 9.