Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 22,750
- 19,985
Kamfukuwe.....Kama ambavyo
Mashehe wa uamsho walivyotolewa.
Babu seya kulamba msamaha(anzi za magu).
Mdude kuachiwa(kushinda kesi).
Mbowe na wenzake mahakama kuamuru warejeshewe mamilioni.
Singasinga.
Bila shaka yoyote wewe kama mwanamchi wa kawaida jiandae kisaikolojia ya kwamba Aliye kuwa mkuu wa wilaya ya hai atatumikia adhabu ndogo sana ukilinganiaha na tuhuma lukuki zilizokuwa zinamkabili.
Rejea mwenendo wa kesi utapata mwanga wa hiki nikisemacho.