bachelor sugu
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 2,689
- 3,641
Habari za usiku watanzania wenzangu..
Naomba kuuliza hili jambo kwa wanaofahamu..
Nimekuwa na mpango muda mrefu wa kuanzisha NGO itakayojihusisha na nyanja fulani ya maisha ila nikawa nasuasua ila kwa sasa nimedhamiria kwa dhati.Ni hv miongoni mwa masharti ya uanzishaji wa Ngo lazima muwe kikundi cha watu wasiopungua 5 kama FOUNDER members mtimize na yale mahitaji mengine ya Katiba,na zile fomu zingine ,sasa maswali yangu ni haya.
Je ile tunayosikiaga kuwa mtu fulani anamiliki NGO yake inakuwaje hapa??
Je kama lazima iundwe na waanzilishi wasiopungua 5 ss hapo maamuzi ya mwanzilishi mkuu si yanakosa nguvu ya kimaamuzi hasa pale inapotokea miongoni mwa waanzilishi wenzio kuwa watata?
Hawa tunaowaita wamiliki wa hizi Ngo wanapataje nguvu ya kuwa na maamuzi ya hela wanazozipata kutoka sources mbalimbali??
Labda naomba tu mwenye uelewa mpana wa maswala ya uendeshaji wa hizi taasisi anieleweshe vizuri..
Ngo yangu mm haitategemea sana funds toka kwa wafadhili bali ada za wanachama maana najua kuna watu wataanza oooh Ngo zilikuwa enzi za mkwere n.k ss hv watu wanakufa njaa...
Naomba kuwasilisha.
Naomba kuuliza hili jambo kwa wanaofahamu..
Nimekuwa na mpango muda mrefu wa kuanzisha NGO itakayojihusisha na nyanja fulani ya maisha ila nikawa nasuasua ila kwa sasa nimedhamiria kwa dhati.Ni hv miongoni mwa masharti ya uanzishaji wa Ngo lazima muwe kikundi cha watu wasiopungua 5 kama FOUNDER members mtimize na yale mahitaji mengine ya Katiba,na zile fomu zingine ,sasa maswali yangu ni haya.
Je ile tunayosikiaga kuwa mtu fulani anamiliki NGO yake inakuwaje hapa??
Je kama lazima iundwe na waanzilishi wasiopungua 5 ss hapo maamuzi ya mwanzilishi mkuu si yanakosa nguvu ya kimaamuzi hasa pale inapotokea miongoni mwa waanzilishi wenzio kuwa watata?
Hawa tunaowaita wamiliki wa hizi Ngo wanapataje nguvu ya kuwa na maamuzi ya hela wanazozipata kutoka sources mbalimbali??
Labda naomba tu mwenye uelewa mpana wa maswala ya uendeshaji wa hizi taasisi anieleweshe vizuri..
Ngo yangu mm haitategemea sana funds toka kwa wafadhili bali ada za wanachama maana najua kuna watu wataanza oooh Ngo zilikuwa enzi za mkwere n.k ss hv watu wanakufa njaa...
Naomba kuwasilisha.