Ndugu wana JF,
Kuna swali napenda sana lijadiliwe. Endapo mume au mke kastruggle akanunua mali kama magari, nyumba au viwanja, na thamani mbali mbali. Je, kati ya haya ni lipi sahihi katika umiliki:
1. Kuandikisha mali kwa jina lake mwenyewe
2. Kuandikisha mali kwa jina lake na la mkewe au mumewe
3. Kuandikisha mali kwa jina lake, la mkewe au mumewe na watoto wote.
Nimekutana na huu mjadala mahali na nikaonelea ni vema niulete kwa great thinkers. Nafahamu humu ndani kuna wataalamu wa maswala ya haki sawa, kuna wataalamu wa mahusiano ya ndoa na kuna wataalamu wa kufikiria between the lines. Na nimelileta humu jamvini kwani nafahamu kuna watu wengi sana hapa nchini na si ajabu duniani wamekutana na changamoto zinazohusiana na umiliki wa mali.
Kwa sasa nimeweka kapuni maoni niliyoyasikia katika mabishano na maoni yangu pia ili niweze kutoa mwanya kwa watu wengine kufikiria tofauti. Kwa maana nyingine nisitoe muongozo wa mjadala.
Kuna swali napenda sana lijadiliwe. Endapo mume au mke kastruggle akanunua mali kama magari, nyumba au viwanja, na thamani mbali mbali. Je, kati ya haya ni lipi sahihi katika umiliki:
1. Kuandikisha mali kwa jina lake mwenyewe
2. Kuandikisha mali kwa jina lake na la mkewe au mumewe
3. Kuandikisha mali kwa jina lake, la mkewe au mumewe na watoto wote.
Nimekutana na huu mjadala mahali na nikaonelea ni vema niulete kwa great thinkers. Nafahamu humu ndani kuna wataalamu wa maswala ya haki sawa, kuna wataalamu wa mahusiano ya ndoa na kuna wataalamu wa kufikiria between the lines. Na nimelileta humu jamvini kwani nafahamu kuna watu wengi sana hapa nchini na si ajabu duniani wamekutana na changamoto zinazohusiana na umiliki wa mali.
Kwa sasa nimeweka kapuni maoni niliyoyasikia katika mabishano na maoni yangu pia ili niweze kutoa mwanya kwa watu wengine kufikiria tofauti. Kwa maana nyingine nisitoe muongozo wa mjadala.