Small Boy
Senior Member
- Jul 12, 2007
- 142
- 38
Mojawapo ya mambo yanalalamikiwa kwenye katiba ya sasa na sheria zake ni pamoja na swala la umiliki wa ardhi;
1. Swala la Raisi kuwa na mamlaka na ardhi yote
2. Swala la wageni kumiliki ardhi
3. Kiasi cha Ardhi mtu mmoja anachoweza kumiliki
n.k
Rasimu ya katiba mpya nayo imekaa kimya kuhusu Ardhi..Hii ina maana gani?
1. Swala la Raisi kuwa na mamlaka na ardhi yote
2. Swala la wageni kumiliki ardhi
3. Kiasi cha Ardhi mtu mmoja anachoweza kumiliki
n.k
Rasimu ya katiba mpya nayo imekaa kimya kuhusu Ardhi..Hii ina maana gani?