WAZIRI MKUU ALIEMUOA ANNA.....
YOU MEAN KAWAWA SIO??????NA ANNA NI ANNA ABDALLAH SIO?????
AMBAE LATER ALIOLEWA NA MSEKWA SIO??????
HAHA HA NILIWAHI ULIZA HAPA HII CCM FAMILLY TREE IKOJE???????
SIKUJIBIWA.....
Mkuu Boss inaweza kuwa Family Tree ya CCM ni ya ajabu ajabu kama inavyoonekana,lakini kwa kuweka mambo sawa,Hayati Kawawa hakuwahi kumuoa Mama Anna Abdallah,pamoja na kwamba wana mtoto pamoja.Waziri Mkuu anayezungumziwa hapa ni Mgombea wa Ubunge wa Jimbo la Mtera aliyeshindwa.
...........................Tatu Abdalah alikuwa mwendesha mashtaka wa polisi na kati ya kesi alizowahi kusimamia ni ile kesi maarufu ya uhaini.....,baadaye alikuja kuteuliwa mkuu wa wilaya..na ni kipindi hicho pia alikuwa anatoka na waziri mkuu....wa wakati huo.....hilo halina ubishi hata kwenye hansard record zipo......."....kuna siku bungeni akiwa naibu waziri na baada ya waziri mkuu huyo kuwa amemuoa ANNA.....alipanda kujibu swali...the weddin had just ended ..alipoenda tu pale kwenye podium wabunge na mawaziri wenzake wakaanza kumcheka....kwa kuwa hakuolewa yeye...akajibu,"nilishaachia ngazi !!"
....sijui kuhusu utendaji wake kwa ujumla..na hatuwezi kuhusisha mahusiano na haki zake za msingi za kujamiiana....ila pale ardhi alikuwa akitumiwa sana na madalali wa viwanja......,anatamaa ya pesa ndogo ndogo!!...huyo mtoto wake ambaye ni mwenyekiti wa jumuia [alimshinda luoha kwa margin ndogo ]hapa dar......ni mfanyabiashara wa ajabu ajabu na anazo tuhuma nyingi za kuuza magari ya wizi ....na powder........naweza kuamini tuhuma za wana Ihagula....ambapo pia mama yake alikuwa anafikiria kumuachia jimbo!!!
Mkuu Boss inaweza kuwa Family Tree ya CCM ni ya ajabu ajabu kama inavyoonekana,lakini kwa kuweka mambo sawa,Hayati Kawawa hakuwahi kumuoa Mama Anna Abdallah,pamoja na kwamba wana mtoto pamoja.Waziri Mkuu anayezungumziwa hapa ni Mgombea wa Ubunge wa Jimbo la Mtera aliyeshindwa.
SASA UMEONA HAPO HIYO FAMILY TREE?
I MEAN BABA KAWAWA,MAMA MZAZI ANNA ABDALLAH.BABA WA KAMBO MSEKWA....
MAMA WA KAMBO ANNA KILANGO,BABA WA KAMBO MWINGINE MALECELA...
HIVI HUYO MTOTO AKIJA GOMBEA UONGOZI
ITAKUWAJE?????
ATACHUJWA KWELI?????????????
SASA UMEONA HAPO HIYO FAMILY TREE?
I MEAN BABA KAWAWA,MAMA MZAZI ANNA ABDALLAH.BABA WA KAMBO MSEKWA....
MAMA WA KAMBO ANNA KILANGO,BABA WA KAMBO MWINGINE MALECELA...
HIVI HUYO MTOTO AKIJA GOMBEA UONGOZI
ITAKUWAJE?????
ATACHUJWA KWELI?????????????
Tanzania hatuangaliii vitu kama hivi Boss!
WAZIRI MKUU ALIEMUOA ANNA.....
YOU MEAN KAWAWA SIO??????NA ANNA NI ANNA ABDALLAH SIO?????
AMBAE LATER ALIOLEWA NA MSEKWA SIO??????
HAHA HA NILIWAHI ULIZA HAPA HII CCM FAMILLY TREE IKOJE???????
SIKUJIBIWA.....
....that anna abby was shared between kawawa and msekwa who took it home for himself.....here i mean another anna how fought out tatu and the like of sophia and take Mzee for himself!!!.....
Duuh mshikaji umeamua utoboe kabisa,atapata mtu pressure hapa halafu iwe mshike mshike. Kwa hiyo jamaa alikuwa na mrs wawili mjengoni sio!!!!:love:
....that anna abby was shared between kawawa and msekwa who took it home for himself.....here i mean another anna how fought out tatu and the like of sophia and take Mzee for himself!!!.....
...Umemsahau marehemu Moses Nnauye kaka
Kama kweli Tatu Ntimizi aliweza kuyafanya hayo yote yanayosemwa na hasa hili la "kumlazimisha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Tabora Vijijini kumpatia mwanaye Musa Ntimizi kazi za ukandarasi wa majengo na madaraja"... inatisha sana! Ina maana serikali huko ni kaput kabisa... hakuna utawala bora hata kidogo.
Je vyombo vya dola vyenye kusimamia haya maswala ikiwemo TAKUKURU wamelala usingizi wa pono au wanamuogopa huyu mama kiasi gani? SHE MUST BE VERY POWERFUL THEN, WHICH I DONT WANT TO BELIEVE!
NADHANI mwenye tatizo siyo Tatu Ntimizi bali mfumo mzima ( if at all shutuma hizi ni za kweli).
Baadaye Wakamuongelea na Getrude Mongela ila wakasema jina la Getrude Ivongela?! Topic sikumbuki.
Sikonge, na Gertrude Mongella pia naye alipendelewa kwa vyeo vyote hivyo alivopata? Hamuwachi nyinyi!
Hatua nyengine basi muanze ku"declare" kwamba wanawake wote hawana akili na ni lazima wapewe upendeleo maalumu ndio waweze kufanikiwa.
Aah! munaniboa nyinyi wakati tulikuwa tunawapita nyinyi akina baba kwa mbali kiakili kuanzia primary mpaka vyuo vikuu!
Rais wa Bunge la Afrika, Mama Getrude Mongella, anatuhumiwa kutenda makosa ya kukosa uaminifu, Wizi na utoaji ajira kinyume na taratibu za kazi yake:-
1. WIZI:- anatuhumiwa kutafuna Dola za US, 138,000 ambazo ni sawa na shillingi 180Millioni za Tanzania.
2. UAJIRI:- anatuhumiwa kuajiri ndugu zake kinyume na sheria za kazi yake, akiwemo mkwe wake, yaani mke wa mtoto wake.
Katika kikao cha AU kilichopita nchini Ghana, nchi za Afrika zilimuamuru mama huyo kurudisha hela hizo mara moja huku uchunguzi ukiwa unaendelea, kikao hicho pia kilihudhuriwa na Rais Kikwete.
Mama Mongella, anatuhumiwa kujilipa US/Dola 800, kwa siku akilifanyia kazi bunge hilo la Afrika, na huku akiwalipa US/Dola 400 kwa siku ndugu zake aliowaajiri huko AU, wakati pia akilipwa na bunge la Tanzania kwa kazi hiyo hiyo. Mkwe wake mama huyu tayari ameshaachishwa kazi na bunge hilo na wengine wako njiani kurudishwa tayari Tanzania.
....that anna abby was shared between kawawa and msekwa who took it home for himself.....here i mean another anna how fought out tatu and the like of sophia and take Mzee for himself!!!.....
Mkulu muhusika alipoamua kumuoa mshosti mwingine toka mle mle mjengoni, Tatu mwenyewe alitamka mjengoni kuwa "NIMEACHIA NGAZI"!!
baadhi ya wananchi wa jimbo la igalula ambao ni wanachama wa chama cha mapinduzi (ccm), wametoa malalamiko kwa mwenyekiti wa chama hicho taifa kuhusu uongozi mbaya wa mbunge wao. Jimbo la igalula linaongozwa na tatu musa ntimizi.
Katika barua yao kwenda kwa mwenyekiti wa ccm taifa, rais jakaya kikwete, wananchi hao wanasema hawataki kumwona mbunge huyo akiendelea kuliongoza jimbo hilo. Jimbo la igalula lilianzishwa rasmi mwaka 1995 baada ya kugawanywa kwa jimbo la tabora kaskazini.
baadhi ya tuhuma dhidi ya ntimizi ni kwamba amekuwa akitumia nafasi yake ya uongozi kumlazimisha mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya tabora vijijini kumpatia mwanaye musa ntimizi kazi za ukandarasi wa majengo na madaraja.
inadaiwa kuwa musa hana taaluma wala sifa za ukandarasi, isitoshe hata kampuni ya ukandarasi hana.
kwa mfano alipewa ukandarasi kujenga zahanati katika vijiji vya imalakaseko, igalula na goweko pamoja na daraja la barabara ya kigwa hadi itundaukulu. Kibaya zaidi, baadhi ya watu aliokuwa anawapatia vibarua, hajawalipa fedha zao walizokubaliana hadi sasa, inasema sehemu ya barua hiyo.
wadai wa mussa wametajwa kuwa ni pamoja na ashura mfaume na ashura selemani wanaodai sh 35,000, ambao walipewa kazi ya kuponda kokoto zilizotumika kujenga zahanati ya goweko. Wengine ni kajuna daudi na michael malambo wanaodai sh 84,000 kwa kazi ya kusomba mchanga na kufyatua matofali.
shule ya sekondari goweko inadaiwa kumdai pia sh 405,000. Majengo ya zahanati za imalakaseko na goweko bado hayajakamilika kujengwa hadi sasa, ingawa tayari ameshalipwa fedha kabla ya kumaliza kazi, inasema barua hiyo.
lakini pia, mbunge ntimizi anadaiwa kuwanyanyasa wananchi katika masuala mbalimbali ya kijamii. Kwa mfano, inadaiwa machi 25 mwaka huu, mbunge huyo alizuia basi lililokuwa limewabeba wana-ccm kuelekea goweko kwa ajili ya sherehe za kuwasimika makamanda wa uvccm wilaya ya uyui.
wananchi hao wanasema: mbunge ntimizi, kwa kutumia madaraka yake, aliwaamuru polisi wa tabora mjini kumzuia mmiliki wa basi la nbs lililokuwa limekodiwa na ccm wilaya kuwapeleka makamanda na viongozi wa ccm kuhudhuria sherehe hizo. Gari hilo lilizuiwa tangu saa mbili asubuhi hadi saa tisa alasiri liliporuhusiwa.
aidha, mbunge ntimizi anadaiwa kukopa sh milioni 40 kutoka mfuko wa pembejeo kwa kutumia jina la mtoto wake, saidi rashidi omari.
hata hivyo, pembejeo hazikupelekwa jimbo la igalula na hivyo kuulazimu mfuko wa pembejeo taifa kumshitaki mbunge huyo. Kesi hiyo namba na. 19 ya mwaka 2006 iko mahakama kuu ya tanzania kanda ya dar es salaam, wadaiwa ni saidi rashidi omari na tatu ntimizi mwenyewe.
inadaiwa pia kwamba mbunge ntimizi amekuwa akivitumia vyombo vya dola kwa maslahi yake ili kuwasumbua wananchi ambao wamekuwa wakitangaza nia zao za kugombea ubunge wa jimbo hilo.
baadhi ya wanachama wa ccm walioshitakiwa na ntimizi kwa mwenyekiti wa ccm mkoa, ni pamoja na hanifa tambulu, athumani rashid mfutakamba, katibu wa ccm (uchumi), suma mamloo, katibu wa ccm (w) uenezi, kapalu na mwenyekiti wa ccm (w), kazwika.
kuna madai kuwa tatu ntimizi amekuwa akitoa fedha za kiasi cha sh 2,000 kwa wajumbe wa nyumba 10, makatibu wa ccm wa matawi sh 5,000 na makatibu wa kata sh 10,000 kwa kumtumia katibu wa mbunge, johnson banda.
baadhi ya wanachama wanaomlalamikia ntimizi na namba zao za kadi za ccm katika mabano ni miraji mwalau (9999211), shami tandiko (35648), idd mlenge (1747271), said sumuni (594754), shabani mayega (35362) na joha hussein (862969). Wengine ni salima mbogo (432740), hamisi sukwa (35302), issa mtiliga (35304), zainabu hassan na hadija ramadhani (35303).
SASA UMEONA HAPO HIYO FAMILY TREE?
I MEAN BABA KAWAWA,MAMA MZAZI ANNA ABDALLAH.BABA WA KAMBO MSEKWA....
MAMA WA KAMBO ANNA KILANGO,BABA WA KAMBO MWINGINE MALECELA...
HIVI HUYO MTOTO AKIJA GOMBEA UONGOZI
ITAKUWAJE?????
ATACHUJWA KWELI?????????????
Hahahaha dah kumbe CCM inawenyewe kha! hiyo tree balaa.
ni kweli jamani ila kwa nini kipindi chote tusiyaibue haya tukisema sisi wenyewe wachawi tutakataa kama mna data mbona msizimwage yawezekana muda mzuri lakini ukawa umechelewa anyway tusubiri nec mwisho wa nchezo...haya mambo sikunyingine kamamnajua laleni bararani iten itv mwone kama angechukua hata fomu za kugombea
WAZIRI MKUU ALIEMUOA ANNA.....
YOU MEAN KAWAWA SIO??????NA ANNA NI ANNA ABDALLAH SIO?????
AMBAE LATER ALIOLEWA NA MSEKWA SIO??????
HAHA HA NILIWAHI ULIZA HAPA HII CCM FAMILLY TREE IKOJE???????
SIKUJIBIWA.....
Sasa umejibiwa?
Kwani katika mapambano mtu anadhibitiwa kutumia silaha zote alizonazo? Silaha nzuri kwa leo sio lazima iwe nzuri na kesho ati! SOmetimes try to be opportunistic and you will see a happier tomorrow. Umesema vema mkuu, vitu vizuri huwajia wenye subira.
WAZIRI MKUU ALIEMUOA ANNA.....
YOU MEAN KAWAWA SIO??????NA ANNA NI ANNA ABDALLAH SIO?????
AMBAE LATER ALIOLEWA NA MSEKWA SIO??????
HAHA HA NILIWAHI ULIZA HAPA HII CCM FAMILLY TREE IKOJE???????
SIKUJIBIWA.....
Anna huyo thi yule ambaye ibini wake thio Abdalla? Thiku thake alithafiri thana na ndege thetu kama attendant. Je thatha imeeleweka?