Kenge (Eng)
JF-Expert Member
- Dec 7, 2006
- 543
- 156
Source:- RADIO 1 STEREO.
"Kikao cha kumpata MEYA wa jiji la Mwanza leo kimevunjika baada ya kutokea mvutano mkali baina ya madiwani wa CCM na Chadema ukumbini"
Kazi ya uchakachuaji haijaisha.
"Kikao cha kumpata MEYA wa jiji la Mwanza leo kimevunjika baada ya kutokea mvutano mkali baina ya madiwani wa CCM na Chadema ukumbini"
Kazi ya uchakachuaji haijaisha.