mwembemdogo
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 2,282
- 1,251
Hakika chama tawala CCM kinazidi kujionyesha uchovu wake katika Siasa za Tanzania.Kitendo cha kukodi madiwani walioapa kuwa in wa Manispaa ya Ilala Mama Ndalichako Na Mahiga Kuja kupiga kura Manispaa ya Kinondoni in umbumbumbu wa Sheria,Kitendo cha kufanya Uchaguzi bila Akidi kutimia huo nao in umbumbumbu wa Sheria.Nadhani in wakati muafaka Kwa Vyama vya Upinzani kwenda Mahakamani ili Mahakama iwafundishesheria CCM maana hawaelewi.Hizi siasa za ujanja ujanja mpaka lini CCM?