Mbeya huko unaambiwa kinyesi kilikuwa kinaanguka toka kwenye dari bila ya kuona mtu.
haya ni mazingaombwe kwa jina la uchawiHichohicho kinyesi chao ndiyo dawa yao hao wachawi, chukua kinyesi changanya na mti fulani halafu unakiweka ndani ya kiloba na unafunga hicho kiloba kwa mpira, wakati unapofunga hicho kiloba ndipo huyo mchawi "tundu" lake nalo linafunga, hatoenda choo hadi uufugue huo mpira. Itabidi akutafute,
Mshana Jr
Mbeya huko unaambiwa kinyesi kilikuwa kinaanguka toka kwenye dari bila ya kuona mtu.