Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,191
- 4,103
Natumai hamjambo wapishi,
Bahati mbaya kwenye mapishi ipo unajikuta umeunguza msosi, mimi ilishawahi nitokea kuunguza nyama mpaka tukaimwaga maana ilikua chungu.
Nikachezea fimbo za kitosha kutoka kwa mama maana nilikua nyumbani bado na nikalishwa ugali mkavu.
Nikajifunza kutenga muda kwa kupika tu na kuahirisha mambo mengine au kua makini sana ninapopika huku nafanya jambo jingine.
Wewe je ilishakutokea? Hebu tueleze ilikuaje.
Bahati mbaya kwenye mapishi ipo unajikuta umeunguza msosi, mimi ilishawahi nitokea kuunguza nyama mpaka tukaimwaga maana ilikua chungu.
Nikachezea fimbo za kitosha kutoka kwa mama maana nilikua nyumbani bado na nikalishwa ugali mkavu.
Nikajifunza kutenga muda kwa kupika tu na kuahirisha mambo mengine au kua makini sana ninapopika huku nafanya jambo jingine.
Wewe je ilishakutokea? Hebu tueleze ilikuaje.