Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,484
- 5,142
si mna wa kwenu? waleeni kikamanda. au zaeni wa kwenu mlee mtakavyo
kumbukeni watoto hawafanani, na kuna umri hata uchape vipi mtoto hasikii. mnaweza kuwalaumu wazazi ila wengine watundu mnoo
kumbukeni watoto hawafanani, na kuna umri hata uchape vipi mtoto hasikii. mnaweza kuwalaumu wazazi ila wengine watundu mnoo