Baada ya ile njia ya tuma pesa kwa namba hii jina litakuja fulani kushindwa ,ikaibuka kuna fedha imetumwa kwako kimakosa ,pamoja na zile za miamala ya mawakala kulizwa na miamala ya bank
Sasa hii naona ndo mbaya zaidi
Ukirudishiwa chenji usichanganye na hela zingine ambazo unazo,ukizichanganya baada ya muda utajikuta huna pesa yako
Ukiokota pesa barabarani,njiani au sehemu yoyote usichanganye na hela zako ,aisee hii imempata mshikaji wangu kabisa wa karibu
Asubuhi ya leo alikuwa anawahi kwenye biashara zake,alikuwa anaenda kufuata mzigo (dagaa huko ziwani)
Wakati anawahi gari ili aweze kuelekea ziwani njiani akakutana na hela elfu 20 noti mbili za elfu 10 ,akaziokota akaziweka pamoja na milioni mbili alizokuwa nazo .
Akapanda gari ,na kwenye gari walikuwa watatu tu,abiria wawili na dreva tu ,wakati safari inaendelea akawa anataka kulipa nauli ili dreva aongeze mafuta ,kutoa pesa akajikuta anatoa majani ya mime,hela hana bali ana majani mabichi ya mimea
Akahisi kuchanganyikiwa ,ulizia wenzake hamna,check kila sehemu hamna
Pia nasikia ukiwa unataka kusafiri nchi za nje kupitia mpakani ,kuna wale wabadilisha fedha,sasa na wale huwa wanawaliza watu sana,anakuhesabia hela vizuri na wew unahakikisha kwa kuhesabu mara mbili mbili na baada ya kujiridhisha,ukiwa safari unajikuta huna hela,kumbe wanatumia viini macho kukuhesabia hela,wanapendekeza kama unataka kubadilisha hela uende kwenye maduka makubwa kuliko wale watu wa vichochoroni
Unakaribishwa kuweka aina za utapeli ili kuwaokoa wengi
Sasa hii naona ndo mbaya zaidi
Ukirudishiwa chenji usichanganye na hela zingine ambazo unazo,ukizichanganya baada ya muda utajikuta huna pesa yako
Ukiokota pesa barabarani,njiani au sehemu yoyote usichanganye na hela zako ,aisee hii imempata mshikaji wangu kabisa wa karibu
Asubuhi ya leo alikuwa anawahi kwenye biashara zake,alikuwa anaenda kufuata mzigo (dagaa huko ziwani)
Wakati anawahi gari ili aweze kuelekea ziwani njiani akakutana na hela elfu 20 noti mbili za elfu 10 ,akaziokota akaziweka pamoja na milioni mbili alizokuwa nazo .
Akapanda gari ,na kwenye gari walikuwa watatu tu,abiria wawili na dreva tu ,wakati safari inaendelea akawa anataka kulipa nauli ili dreva aongeze mafuta ,kutoa pesa akajikuta anatoa majani ya mime,hela hana bali ana majani mabichi ya mimea
Akahisi kuchanganyikiwa ,ulizia wenzake hamna,check kila sehemu hamna
Pia nasikia ukiwa unataka kusafiri nchi za nje kupitia mpakani ,kuna wale wabadilisha fedha,sasa na wale huwa wanawaliza watu sana,anakuhesabia hela vizuri na wew unahakikisha kwa kuhesabu mara mbili mbili na baada ya kujiridhisha,ukiwa safari unajikuta huna hela,kumbe wanatumia viini macho kukuhesabia hela,wanapendekeza kama unataka kubadilisha hela uende kwenye maduka makubwa kuliko wale watu wa vichochoroni
Unakaribishwa kuweka aina za utapeli ili kuwaokoa wengi