Umewahi kusoma kitabu, The Richest Man In Babylon? Ulijifunza nini? Kinasaidia?

Mimi napenda kuuliza tu kwamba, hichi kitabu kilikua kinahusu stori au hadithi ya kweli au ilikua ni hadithi ya kutunga tu?

Mwenye majibu tafadhali.
 
Kitabu gan kiko maktaba kinaweza kuendana content na hiki???? Kilichoisha?
 
Mimi napenda kuuliza tu kwamba, hichi kitabu kilikua kinahusu stori au hadithi ya kweli au ilikua ni hadithi ya kutunga tu?

Mwenye majibu tafadhali.
Ni hadithi za kutunga ili ilikufikisha ujumbe(Fables), si habari za kweli.
 
Mimi napenda kuuliza tu kwamba, hichi kitabu kilikua kinahusu stori au hadithi ya kweli au ilikua ni hadithi ya kutunga tu?

Mwenye majibu tafadhali.
Kama umesoma hayo madini aliyotuma jamaa kuhusu hicho kitabu jiangalie maisha yako ndo utajua ni hadithi tu ya kufikirika au ndivyo mambo yanavyokwenda kwenye Jamii miaka na miaka.
 
Mfano kama ujira wako ni tsh 100'000/= kwa mwezi, amua kuweka let say 10'000/= hiyo utabakiwa na 90. Hiyo tisini ndo kama umejilipa na nduo ya mahitaji yako mengine na kadhalika ila never ever usiiguse ile asilimia 10 kwa maana ya tsh 10'000/= uliyojiwekea akiba ukaitumia tena kwa matumizi.
Naona umekosea kdg, pato lake alilojilipa hapo ni hyo 10%,ambayo nayo anatakiwa akaizungushe, hyo 90% ndio bili ya maji hapo, kodi, umeme, chakula etc.
 
JazzakAllahh Khairrrrr Red Giant
Napenda kusoma ila nilikuwa nakionea uvivu the english version
Ila hii tafsiri ya kiswahili umeipamba nimekimaliza.,nzuri sana
Ahsantee🙏🏽🙏🏽
 
Mfano kama ujira wako ni tsh 100'000/= kwa mwezi, amua kuweka let say 10'000/= hiyo utabakiwa na 90. Hiyo tisini ndo kama umejilipa na nduo ya mahitaji yako mengine na kadhalika ila never ever usiiguse ile asilimia 10 kwa maana ya tsh 10'000/= uliyojiwekea akiba ukaitumia tena kwa matumizi.
Darasa moja, lakini uelewa tofauti kwa kweli.

Mkuu, ulivyotiririka ndivyo mtoa mada alivyomaanisha, kasoro ni moja tu kwenye neno 'kujilipa' tumetofautiana uelewa hapo.

Nilivyoelewa mimi ni kuwa ile 10% unayoiweka akiba ndiyo kujilipa wewe mwenyewe huko.
 
Darasa moja, lakini uelewa tofauti kwa kweli.

Mkuu, ulivyotiririka ndivyo mtoa mada alivyomaanisha, kasoro ni moja tu kwenye neno 'kujilipa' tumetofautiana uelewa hapo.

Nilivyoelewa mimi ni kuwa ile 10% unayoiweka akiba ndiyo kujilipa wewe mwenyewe huko.
Sahihi kabisa na usiiguse mpaka ikianza kukua kidogo,mfano mtu unapokea laki tano kwa mwezi,yaani kila mwezi utenge 10% 50000 ikifika japo miezi mitano au sita itakuwa zaidi ya laki mbili ama tatu hapo unaanza kuwekeza taratibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom