Umewahi kusoma kitabu, The Richest Man In Babylon? Ulijifunza nini? Kinasaidia?

Hafu anadownload vitabu bure kabisa hafu yeye anatafsiri kwa kiswahili na kuviuza , mbona wazungu hawafanyi hivyo huko mnakodownload,

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli nimeamini dunia watu wa ajabu hawatokuja kuisha,,,hao wazungu washaviuza copy za kutosha sio bure Kama unavosema wewe. Just imagine mtu
*Katumia mda wake, mb zake kutranslate kitabu kizuri kilichoandikwa kwa old English ambayo ni ngumu kdg. Halafu wewe unaona Kama ukilipa hela ambayo ni chini ya 1$ atafaidi.
Bro kama unaona elimu ni ghali basi jaribu ujinga kwa hujafosiwa ukiona gharama acha.
 
Kweli nimeamini dunia watu wa ajabu hawatokuja kuisha,,,hao wazungu washaviuza copy za kutosha sio bure Kama unavosema wewe. Just imagine mtu
*Katumia mda wake, mb zake kutranslate kitabu kizuri kilichoandikwa kwa old English ambayo ni ngumu kdg. Halafu wewe unaona Kama ukilipa hela ambayo ni chini ya 1$ atafaidi.
Bro kama unaona elimu ni ghali basi jaribu ujinga kwa hujafosiwa ukiona gharama acha.
mimi mwenyewe ni meshangaa hao wazungu wanatoa edition mbalimbali hicho kitabu na kuchapisha upya
 
Kweli nimeamini dunia watu wa ajabu hawatokuja kuisha,,,hao wazungu washaviuza copy za kutosha sio bure Kama unavosema wewe. Just imagine mtu
*Katumia mda wake, mb zake kutranslate kitabu kizuri kilichoandikwa kwa old English ambayo ni ngumu kdg. Halafu wewe unaona Kama ukilipa hela ambayo ni chini ya 1$ atafaidi.
Bro kama unaona elimu ni ghali basi jaribu ujinga kwa hujafosiwa ukiona gharama acha.
Kwa nini uuze , atumie Mbinu wanazo tumia wao kuingiza ela.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuwa mtumishi wa Mungu sio lazima uwe na kanisa Kama kina Masanja!! hata kwa kazi hii unayoifanya ni utumushi mkubwa sana!! Kwanza huhitaji sadaka Kama akina Masanja waganga njaa!! wewe unafanya utumishi ulioko moyoni mwako!! sio utumishi was kulazimisha Kama wafanyavyo wengine!!

Utumishi unatoka moyoni!! utumishi ni kipawa mtu anachopewa na Muumba wake!!
Umenena mkuu
 
Kweli nimeamini dunia watu wa ajabu hawatokuja kuisha,,,hao wazungu washaviuza copy za kutosha sio bure Kama unavosema wewe. Just imagine mtu
*Katumia mda wake, mb zake kutranslate kitabu kizuri kilichoandikwa kwa old English ambayo ni ngumu kdg. Halafu wewe unaona Kama ukilipa hela ambayo ni chini ya 1$ atafaidi.
Bro kama unaona elimu ni ghali basi jaribu ujinga kwa hujafosiwa ukiona gharama acha.

Ukisikia wachawi ndio hao mzee,jamaa analeta ujuaji we mpotezee tu.
 
wanabodi
heshima yenu wakuu!
Mie nina wazo iwapo mtaridhia ama litawapendeza
nafikiri kuwa mleta uzi
akimaliza kuleta kitabu chote
I mean sura zote!

Basi ni vizuri tukawa na utaratibu wa kufanya uchambuzi sisi kwa sisi!
Mjadala huru
Kuanzia sura ya 1 hadi ya mwisho.
Ili maswali yawepo, maoni, ushauri, mapendekezo pia

Then Mwisho kabisa tunapendekeza kwa pamoja
Jina la kitabu kinachofuata.
Haya ni mawazo yangu tu ila nisameheni iwapo nimewakwaza!
Nakusapoti
 
Sijaelewa kidogo hapo anaposema inatakiwa ujilipe 10% ya mapato yako. Je ansmaanisha ndani ya hiyohiyo 10% ndio uweze kumudu matumizi ya kila siku? Na nyingine uwekeze izalishe ndani ya hiyohiyo 10%?. Na vipi kuhusu 90% inayobaki?. Mlioelewa tafadhali mtueleweshe sisi wa Std 4.
Ni kwamba wewe utumie hiyo 90% halafu hiyo 10% usiiguse kabisa hata itokee nini, ikifikia mahali hiyo 10% uliyokuwa unatunza imeanza kuwa nyingi ndo uiingize kwenye uzalishaji izalishe wenzake.

Hivyo ndivyo alivyomaanisha.
 

Similar Discussions

49 Reactions
Reply
Back
Top Bottom