hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
najua "" siulisomaga nao mkuu"....!!!Nawapata hao nyoka ni washkaji zangu kinoma
najua "" siulisomaga nao mkuu"....!!!Nawapata hao nyoka ni washkaji zangu kinoma
tunatekenyana ujue
Hili nimeshaliona, Kuna mahali Nyumba yetu tuliyokuwa tunaishi ilikuwa juu Mlimani, kuna siku Bonge la joka lilipita na Moto likapotelea Mlimani.Siku nyingine nilipanda Mlimani peke yangu nilikutana na Bonge la Joka, ila nilisepa bila lenyewe kuniona.Kuna joka lingine hua linapita milimani bonge la joka kama mlima hivi mlisha liona? ila hua hayadhuru
hahahaa ..nikikwa mbiaga bangi sio mchicha unanipinga ""...Waha kwa kuamini uchawi ni kama makalio na chupi
Chini ya makwapa
Kwenye mbavu au wapi?
ice cream 1 mnagawana watu 7Kama unakumbuka kumbuka vizuriii aisee ukiwa mdogo tena shule zetu za ngumbaru njaa yake ni balaaa
Ndio maana nikahisi vitu vinanichoma choma kumbe nipo kwenye kwapa.Chini ya makwapa
Hiyo nimewahi kuiona sana .....kina paa kinanyooka nakuwa chembemba mpaka angani ""...
Ulishawahi kuona mdudu kama funza mkubwa akiwa kwenye kichwa cha mbuzi au kondoo?Naam, kakimbunga kadogo kadogo.
Hii in sawa. Shule niliyosoma Mburahati primary school ilikuwa na hilo joka lenyewe lilikuwa source of water....madarasa ya upande Fulani yalikuwa yanatitia kwasababu ya maji. Yale maji yalikuwa yanatirirka mwaka mzima mpaka mvua za miaka ya 2000s ndo likatoka na maji yakakata.Hii sijawahi kuisikia ila Niliwahi kusimuliwa na bibi yangu kuwa mvu kubwa zinyeshapo na mafuriko kutokea basi jua majoka makubwa hutoka milimani na kusafiri katika mafuriko kuelekea baharini.
Ulishawahi kuona mdudu kama funza mkubwa akiwa kwenye kichwa cha mbuzi au kondoo?
So hujafika 30 yes by now2003/4 hujaanza Primary wakati mie nilikua standard 7. Wewe basi mdogo sana.
Ila sio ya wamasai....Waha kwa kuamini uchawi ni kama makalio na chupi
Duniani kuna mambo kumbe! We ukiona kama kitu cha kawaida au kushangaza?Hicho kitu nimeona mara mbili na wakati nyoka anashuka anaweza chukua hata masaa 3 nawingu yanakua meusi tii kama kwenye picha ya Kungfu hustle, mwishoni hukunja ule mnyororo unamwachia yy anadondoka majini. This is True nimeona mara mbili nkiwa na wazazi + wadogo zangu Kigoma kusini
nimeweka picha hapo hiyo oceanic tornado na wala sio nyoka
Dogo primary umeanza lini?!Mara ya mwisho nimemuona kwenye 2004 au na 3 kipind iko nilikua dogo sana kabla gata ya kuanza primary